Wiston Mogha
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 149
- 96
Nawashukuru sana.
Leo nimechukua Fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la kigoma Mjini, nikiwa nimeambatana pamoja na Familia yangu, Ndugu, Jamaa na Marafiki.
Kigoma Tuitakayo inahitaji kiongozi wa kizazi kipya ambae kipaumbele chake cha kwanza iwe maslahi ya wananchi wake kwanza.
Natambua ukubwa wa dhamana ninayoiomba na niko tayari kwa utumishi.
Naiomba nafasi hii nikielewa kiu ya Wanakigoma mjini ya kupata uongozi mpya unaotoa matumiani mapya yatakayoifikia Kigoma Tuitakayo.
NIko tayari kushirikiana nanyi wote tuijenge kigoma Mjini.
*Wiston Mogha*
*Mtia nia Ubunge jimbo la Kigoma Mjini*
Leo nimechukua Fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la kigoma Mjini, nikiwa nimeambatana pamoja na Familia yangu, Ndugu, Jamaa na Marafiki.
Kigoma Tuitakayo inahitaji kiongozi wa kizazi kipya ambae kipaumbele chake cha kwanza iwe maslahi ya wananchi wake kwanza.
Natambua ukubwa wa dhamana ninayoiomba na niko tayari kwa utumishi.
Naiomba nafasi hii nikielewa kiu ya Wanakigoma mjini ya kupata uongozi mpya unaotoa matumiani mapya yatakayoifikia Kigoma Tuitakayo.
NIko tayari kushirikiana nanyi wote tuijenge kigoma Mjini.
*Wiston Mogha*
*Mtia nia Ubunge jimbo la Kigoma Mjini*