Nafikiri Lusinde amepotosha.... Jukumu la serikali yoyote ni kutengeneza mazingira mazuri kwa ajili ya ustawi wa watu wake. Huwezi kuniambia muhitimu wa shahada aliyekulia mjini akalime wkt hujaweka mazingira mazuri huko vijijini...km elimu ya kujiajiri....pembejeo....masoko n.k. Lkn pia...
Wakuu ninauza Nokia Lumia 630 kwa 180K. Bd ina warrant... Almost ni mpya. Ina kila kitu chake. Sababu ya kuiuza ni kwa kuwa nimepata simu nyingine. Kwa mawasiliano zaidi 0689 309 344. Ila mtaniwia radhi kwa kushindwa ku upload picha. Thanx.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.