Aisee upo hatarini sana, usikute huyo mama j kaminywa na mme wake wanakuwekea mtego uliwe vizuri...kama amemsaliti huyo mme wake bila shinikizo akiminywa kidogo anakusaliti tu na wewe🐼
Nyie hamjui kuna Ostazi leo alikuwa anachambua silaha nzito za kisiri alizonazo Irani unnambiwa hata Marekani hawazijui, wakiamua wanaifuta Israeli kwenye uso wa dunia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.