Search results

  1. JT2014

    Mabasi ya mikoani na vikapu vya takataka

    Niwapongeze wanajf wote kwa kuingia mwaka mpya 2018. Pia niwape pole/hongera na kazi za kulijenga taifa. Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu iliyonisukuma kuanzisha uzi huu. Katika safari zangu za mapumziko ya sikukuu za Christmas na mwaka mpya,nilisafiri katika mojawapo ya mabasi ya kwenda...
  2. JT2014

    Mifuko ya hifadhi ya jamii na fao la kujitoa,aJe ni sahihi fao hili kuondolewa?

    Ndugu wana jf ninawasalimu wote na kuwapa pole/hongera kwa majukumu ya kulijenga taifa letu. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kufuatia mjadala unaoendelea juu ya fao la kujitoa kwa wanachama wa mifuko ya jamii pindi ajira zao zinapokoma kabla ya kufikisha umri wa...
  3. JT2014

    Namshauri Mh. Rais abadilishe fedha ya nchi

    Habari zenu wana jamvi. Kutokana na dhamira ya rais ya kuikwamua nchi hii kiuchumi namshauri afanye haraka abadilishe fedha yetu, na atoe muda kama miezi sita hivi,fedha yote ya zamani iwe imebadilishwa vinginevyo mmiliki atakuwa ameingia hasara endapo ataendelea kuwa na fedha mkononi bila...
  4. JT2014

    Mgombea wa CCM na alama ya mwenge

    Wana janvi naamini nyote mu-wazima. Naomba tujadili au naomba kujua kwa anayefahamu anifafanulie dhana kamili ya mwenge ambao hupewa heshima kubwa hapa nchini na kutumia fedha nyingi katika mbio zake huku madarasa ya wanafunzi hayana madawati na vitu muhimu mashuleni. Ukiangalia mabango yote...
  5. JT2014

    Mtoto wa Mwalimu na kifimbo

    Siku ya uzinduzi wa kampeni za chama tawala mtoto wa mwalimu alipewa nafasi kusema jambo Miongoni mwa mambo niliyoyashangaa ni pale aliposema ''Kifimbo hoyeeee...!Nilijiuliza je? kile kifimbo ndo kile cha mwalimu Na je kwa nini kifimbo leo(siku ya uzinduzi wa Kampeni)? Hii ilinipa kukumbuka...
  6. JT2014

    Tume ya uchaguzi ijitkite kutoe elimu kwa wapiga kura

    Salaam kwenu wana janvi wote. Baada ya kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura,sasa ni wakati muafaka tume itoe elimu juu ya mambo muhimu ya kuzingatia ili kura itakayopigwa iwe harali na ihesabike. Jambo hili litasaidia kuondoa mkanganyiko, maana watu...
  7. JT2014

    Style mpya ya maandamano

    Wana jf habari zenu, Leo asubuhi kweye taarifa ya habari ya ITV Wamemuonyesha mkurugenzi wa TECCO kule mwanza akiwa amevaa magunia na kwenda kwa mkuu wa mkoa, kanisa la KKKT na kanisa katoliki, alipoojiwa na polisi alisema kuna fedha yake aliyopewa kama zawadi ya kupanda miti jiji la mwanza na...
  8. JT2014

    Sakata la Kafulila na akaunti ya ESCROW linanipa maswali mengi

    Poleni/hongera na kazi wadau na wanaJF wote kwa ujumla, Nimeona nilete hii hoja humu jamvini kufuatia maswali mengi niliyojiuliza leo baada ya kuangalia taarifa ya Habari iliyorushwa na ITV leo asubuhi saa moja na nusu. Waziri mkuu wa JMT ameonyeshwa akiongea na waandishi wa habari akiwalaumu...
  9. JT2014

    Kuangalia porn kwenye mtandao

    Wakuu habari zenu, Naomba kwa anayejua anifahamishe, Je, kuangalia porn kwa njia ya mtandao nayo ni mojawapo ya makosa ya uhalifu wa kimtandao? Na kama jibu ni ndiyo,kwa nini hawa wanaoweka picha hizo hawafungiwi? Ahsante. =================
  10. JT2014

    Ni kigezo gani kinatumika kwachagua wanawake wakuu wa wilaya uzuri au elimu yao?

    Habari zenu wana jf Nimekuwa nikitazama mara kwa mara kwenye picha mbalimbali za vyombo vya habari nikagundua wanawake wengi wakuu wa wilaya na wabunge wa viti maalum karibia wote ninaowafahamu ni wazuri wa sura Ninajiuliza hivi ni kweli hakuna wanawake wasomi wenye sura kama yangu wanaofaa...
  11. JT2014

    Wamama wawasaidie watoto wao kuepuka tatizo la kibamia

    Habari zenu wana MMU Nakumbuka nilipokuwa mdogo nilikuwa napenda sana kuvuta sehemu yangu ya siri na mama alikuwa akinipiga na kusema wewe kwa nini mkono wako hauachi kuvuta dudu yako,sasa baada ya kuwa mkubwa nikajikuta,niko poa(bila kibamia). Nawashauri wamama wawe wanawanyoosha taratibu...
Back
Top Bottom