Nilikuwa kwenye show inaitwa 'mtikisiko' uwanja wa Samora Iringa.
Kulikuwa na wasanii wengi maarufu wa ndani na nje ya nchi wakitumbiza kama Radio na mwenzake, Chege, Juma Nature, Barnabas, Temba, Lina, Mr. T na wengine kibao. Lakini kilichonishangaza mtangazaji mara kwa mara alikuwa akiuliza...
Matokeo rasmi mpaka sasa Chadema inaongoza kata 10 kati ya kata 19. Tayari barabara kadhaa zimefungwa kutokana na watu kujaa wakishangilia. Mgombea ubunge wa Chadema Lema yupo katika kituo cha majumuisho ya kura wakati Dr. Buriani amekataa kupokea simu. Katka hali iliyowashangaza wengi diwani...
Habari zisizo rasmi kutoka katika vyanzo tofauti tofauti zinadai kwamba, mgombea ubunge kwa jimbo la Hanan'g Chadema ambaye pia alikuwa mke wa Dr. Slaa, Rose Kamili amembwaga mpinzani wake waziri Mary Nagu aliyekabidhiwa mikoba ya kuliongoza jimbo hilo na waziri mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye...
Askari polisi wa Moshi mjini amekamatwa na vitambulisho kadhaa vya kupigia kura. Polisi walipata taarifa kutoka kwa wasamaria wema juu ya kuwepo kwa kadi hizo.
chanzo: tbc1
Eti wana JF, hivi ni vizuri mpenzi wako ambaye either ni member au anapenda kuperuzi hapa JF kujua username unayotumia? Je akijua username yako kwa namna fulani hawezi kukunyima uhuru wa kutoa au kuchangia mada hasa zinazohusu mahusiano/mapenzi? Je vp kuhusu kumpa passwords za emails zako?
Job Opportunity
Warehouseman
The U.S. Embassy in Dar es Salaam is seeking an individual for the position of Warehouseman, in the General Service Office.
Note: All applicants must be residing in country and have the required work and/or residency permits allowing employment in country prior...
Jamani wana JF kijana mwenzenu nimechoka kuwepo kuwepo sana kwa hiyo nataka KUOA hivyo nipo kwenye mchakato wa kumpata.
Wasifu wangu
Jinsia, mwanaume
Umri, miaka 29
Dini, mkristu
Kazi, nimejiajiri
Kipato, cha wastani
Napendelea kuchat, kubadilishana mawazo, michezo, muziki na kusikiliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.