Nimepata taarifa kwamba kaka Deo wa million hairs -mmoja wa waliokuwa wakijibu maswali kwa niaba ya million hairs amefariki juzi ijumaa. Msiba upo nyumbani kwake kwenye kota za BoT Mbezi beach, mazishi kesho jumatatu. RIP Deo
FL
Kama ndio anaanza, mpatie mara 2.
Angalizo: jaribu kumpa chakula cha aina moja kwa angalau 3 -7 days ili uone kama kina reaction yeyote.
Tuendelee kubadilishana mawazo.
Annina
Mdau35
Kama huna microwave chemsha maji kisha itumbukize kwenye maji kwa few minutes -lengo ni kuilainisha vizuri sio kuipika! Kama huna strainer iponde kwa kijiko, mwiko etc cha muhimu ilainike kabisa kumbuka ndio anaanza, tumbo lake halitamudu particles anaweza kupata shida ya...
FL
Procedure ni rahisi, chakula hiki hakipikwi. Chagua avocado na ndizi zilizoiva vizuri, safisha kwa umakini maana havipikwi so hakikisha hakuna uchafu kabisa. Weka ndizi (ripe banana) yako bila kumenya kwenye microwave kwa sec 50 hadi dk 1 ili ilainike vizuri - ndizi huwa ngumu kidogo. Kisha...
Ndizi mbivu - banana, unaweka kwa microwave kwa dk 1 kuifanya ilainike vizuri, then unaiponda ponda au pitisha kwa strainer. Kisha ongeza maziwa kama nilivyoelekeza awali.
Annina
FL
Kama ndio anaanza solids ni bora ukaanza na kitu kimoja kimoja kama wengine walivyoshauri. Kwa kuanzia jaribu puree ya avocado na banana unaiponda ponda unachanganya na maziwa (breast milk au formula anayotumia) ni nzuri and very nutritious. Wa kwangu ana miezi 6 anaipenda sana. You can...
Kitomari2
Mkuu nashukuru sana, nimeongea na nyumbani vifaranga vimefika na vinaendelea vizuri. Nitakujulisha zaidi nitakaporudi na kuviona.
Ubarikiwe sana,
Annina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.