Salaam wanajamvi. Naomba kujuzwa juu ya bei kwa new na refurbished HP Spectre x360 13-ae098nz Laptop i5/i7, 8GB/16GB RAM, 512GB/1TB SSD. Kama kuna mdau anayo tafadhali nicheki hapa au PM. Asanteni.
Wanabodi tafadhali Masada wa daktari au hospitali ya mtaalam wa matatizo ya tumbo kuuma kitovoni. Vipimo vya awali vilionyesha typhoid mwingine dalili za appendix. Kwa Arusha au DAR tafadhali.
Kinadharia ni mchumba ila kiuhalisia huyu ni mke inabidi awe na sifa za mke. Ninafikiria kuchepuka maana chaakula cha mgao nimechoka.
Akina dada mwenzenu afanyayo asaidiwe vp? Au nasaidiwa na mwenzangu Mimi mshika Pemba tu?
Asante kwa ushauri wako. Kisheria tayari ni mke. Tunajipanga kubariki Muungano wenu. Kipindi hiki wapenzi huwa na hisia na upendo wa kujali sana. Kama mwanzo ndio huu sijui mwisho wake.
Wanajamvi ninamchunba wangu ambaye nimeishi naye kwa miaka miwili vizuri. Hivi karibuni amekuwa analala usingizi mzito sana kiasi kwamba hatambui kama Mimi nipo. Madai yake ni uchovu wa kazi. Lakini hata wikiendi asipoenda job ni kusinzia Kila wakatina alalapo ni usingizi wa pono. Mimi nahisi...
Kununa au kususa wakati mwingine ni kutengeneza mazingira ya kutoka nje. Hivi mwezi mzima kimya kimya mwanamke akitongozwa street na jamaa aliyemsumbua muda mrefu na anaonyesha kujali si ndo mwanzo wa kumkubali na kucheat!!
Mwanaume akinuna ujue kuna jambo hasa kufanyiwa visa kama kunyimwa chakula au kudharauliwa kwa kisingizio cha kuwa na uwezo kifedha hivyo kufanya mambo yake bila kumshirikisha mwenza wake.
Umenena Muhanga
Kama kanuna au haeleweki ana tatizo gani ni bora kuingia street ili awe huru kutafakari yanayomsibu. Maana mwingine hata kumuona mwenza wake ndo kunazidisha hasira.
Hivi wadau hii imekaa vipi? Utakuta wapenzi au wanandoa wamenuniana hawaongei hata kwa wiki au miezi. Je hii ni aina ya tafakari ili kuchuja makosa yaliyotokea? Naomba mitazamo yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.