walio serious tu nitafuteni kuna kundi tunalo na website live chat utafundishwa na kuelewa tulitoa bure mwanzo watu walikuwa wengi wakaharibu kundi tunataka wachache committed
Nenda youtube mkuu, search java tutorials... Utakuta za kutosha!!Wanajamvi Salaam. Ninaomba jujuzwa mtaalam wa Java au any other programimming language anayetoa tutorials. Please let me know.
Nenda youtube mkuu, search java tutorials... Utakuta za kutosha!!
Niunge na mm mkuu bac kama lipo 0753210177walio serious tu nitafuteni kuna kundi tunalo na website live chat utafundishwa na kuelewa tulitoa bure mwanzo watu walikuwa wengi wakaharibu kundi tunataka wachache committed
Mm nataka kusoma java na phpMim nafundisha Aspx(kwa c#, java script, Ajax css) na upande wa database ni ya Microsoft (SQL). Aliye interested nichek pm kwa maelezo zaidi
programming language kama java ni pana sana. wewe unataka kusoma java kwa lengo gani ? ili utafute kazi , unaongeza ujuzi tu au ? cheti ni muhimu kwako ? unajua programming language gani nyingine ?Mm nataka kusoma java na php
Hii tabia wabongo tuipunguze hum mtu akiomba msaada wa kujifunza kitu flani meshakalili tuu nenda YouTube au nenda google, hiv mpaka yeye ameandika uzi hum inamaana google au YouTube haijui, na pia hizo tutorials za youtube sio zote zinaeleweka ni chache sana ambazo utaelewa, na tatzo lingine lugha ilunakuta tutor mwenyew lafudh yake haielewek, So mtu anapoandaa uzi hum wa kuomba msaada wa kitu flan kutoka kwa watanzania wrnzake ww unakurupuka tuu nenda YouTube, tulia kama huwez kumsaidia hii kasumba mbaya sana.Nenda youtube mkuu, search java tutorials... Utakuta za kutosha!!
Kungekua hakuna maana ya kufungua shule na vyuo, tutumieni akili vizuri tusikalili kila kitu mtandaon, kama hujui jinsi ya kumsaidia kaa kimya maana unaposema kila kitu mtandaon yeye usikute amejaribu imekua ngum ndomaana kashindwa, au hao wanaotoa tutorials mtandaon unadhan nao walijua mtandaon, walisoma kwanza vyuon ndo wakajua wakaanza kufundisha mtandaon. Huu ujinga tuuache wa kila kitu unamwambia mtu mtandaon ni wangapi tanzania wanagraduate mitandaon? wachache sana ndomaaba kukawa na vyuo au watu binafsi wanaotoa mafunzo ya vitu flani, sasa mwenzetu anatafuta mafunzo ya Programming unakurupuka tuu nenda mtandaon, hii kitu sio nzuriiSiku hizi unaweza kujisomea chochote ili mradi ukiwa serious. Mambo yote yapo mtandaoni
Wewe nyumbu, mwache ajibu yeye. Mimi nasoma programming mtandaoni pia. Nishamaliza html, css, JS. Acha ushamba maarifa yaliyopo mtandaoni hata baadhi ya vyuo nchini huwezi kupata.Kungekua hakuna maana ya kufungua shule na vyuo, tutumieni akili vizuri tusikalili kila kitu mtandaon, kama hujui jinsi ya kumsaidia kaa kimya maana unaposema kila kitu mtandaon yeye usikute amejaribu imekua ngum ndomaana kashindwa, au hao wanaotoa tutorials mtandaon unadhan nao walijua mtandaon, walisoma kwanza vyuon ndo wakajua wakaanza kufundisha mtandaon. Huu ujinga tuuache wa kila kitu unamwambia mtu mtandaon ni wangapi tanzania wanagraduate mitandaon? wachache sana ndomaaba kukawa na vyuo au watu binafsi wanaotoa mafunzo ya vitu flani, sasa mwenzetu anatafuta mafunzo ya Programming unakurupuka tuu nenda mtandaon, hii kitu sio nzurii
Huo unyumbu unao wew jombaa kama ww umesoma sio wote waache wengine waelekezane hizo mitandao zako soma tuu ila sio wote watasoma wengine, boya kweli wewe unaishi kwa kukalili hizo programming mm mwenyewe nimesoma mtandaoni lakin pia nimewacheki maexpert wamenielekeza vitu vingine ambavyo huko mtandaon sikuvielewa, Huo ushamba unao wewe ambaye unadhani kila kitu ni mtandao wakati hata hao walioweka mtandao walisoma kwanza kwa waalimu wakafanya practice ndo wakaanza kutengeneza content, au unadhan waliingia youtube tuu wakajua, nanga weweWewe nyumbu, mwache ajibu yeye. Mimi nasoma programming mtandaoni pia. Nishamaliza html, css, JS. Acha ushamba maarifa yaliyopo mtandaoni hata baadhi ya vyuo nchini huwezi kupata.