Stephano , hiyo thread haitanisaidia mimi tu bali kila atakaesoma atafaidika nayo. Sikupenda ulichoandika ndo maana nikaandika niliyoandika. Kila kitu ni kusaidiana sio kuvunjana moyo.
Natumai umenielewa kwa hapo
Kama huna la kusema acha usiandike chochote hujui nimefanya nini mpaka now. Usiweke maneno yako ya kejeli na ufikiri kiupana zaidi.
Na kama wewe ni developer huwa haufanyagi hivyo kijana.
Sikumtazama fb, kitu nimefikiria mimi mwenyewe ishu ni kwamba kinataka kufanana.. ndo maana nikatolea mfano wa fb ili mtu aelewe kiurahisi, lasivyo maelezo yangu yangechukua page tatu.
Msaada wakuu najua wengi wetu tunatumia fb, kuna kile kipandw cha post ambacho mtu akipost kitu kinaonekana kwa watu wote wanaomhusu na wanaweza ku comment na mengineyo.
Lengo langu ni kufanya kitu kama kile ninatumia SQL Database.... Nimekwama kwa sababu sijui structure ya database kama jinsi...
Website unaweza fanyiwa bure cause mtu anaweza chukua template tu na akahost. Native Android app hakunaga tenplate anza from scratch mpaka inakua kamili.
Inahitaji skills na inaweza chukua hata miezi 6 au mwaka kumaliza app moja ndo maana ni gharama
Chukulia ya kwamba wewe ni mama wa watoto 5, mtoto wako wa 1 yupo chuo na wa mwisho hata kuongea bado, na unampenda mumeo(mmefunga ndoa). Cku moja ukaja kugundua ya kwamba mumeo miaka 16 iliyopita alitoka nje na mtoto aliepatikana yupo mpaka sasa hv pamoja na *****.
Je, utakua hatua gan dhid ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.