Kuna UTAPELI mkubwa kuna watu wanajiita TALA MIKOPO,wanadanganya watu kwamba wanatoa mikopo kwa Riba ndogo,unaambiwa weka Akiba Kiasi fulani,mfano ukitaka kukopa Laki mbili unaambiwa weka 32,000,ukiweka pesa hiyo kwa mujibu wa Maekezo yao hiyo 32000 ndo inakuwa imeliwa
Hamjipangi nyakati za asubuhi na Jioni kwani hamjui abiria ni wengi muda huo KIMARA NI SHIDA SANA.
Sent from my itel it1505 using JamiiForums mobile app
Kumbuka hiki ni kipindi cha KWARESMA,Rais ni mkristo kama wakristo wengine hiki ni kipindi cha toba,kushiriki Mateso nk kutoa kwake ni mambo binafsi kaguswa kumpa huyo mlemavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.