Habari zenu wana Jf nilikuwa na ndoto siku moja niwe na fitness centre yangu kwasababu wanasema fanya kitu ukipendacho utafanikiwa zaidi.
Wana Jf kuna mtu yoyote anaifanya hii biashara au ana utaalamu nayo jinsi ya
1.kuiendesha,
2.gharama zake vifaa na wapi kwa kuvipata(sehemu ipo nikuifanyia...
Wandugu ambao mpo kwenye Sector hii naombeni msaada wakujua jinsi ya kupata mkopo wa kujenga ,changamoto zake, gharama, na vinaitajika nini ili upate mkopo?(Business Proposal).Tuna sehemu nzuri sana Dar(kijitonyama) viwanja viwili vitatu ambavyo nataka kuviendeleza kwa kujenga small apartments...
Mashamba bado yapo Morogoro maeneo ya Kiegea(bwawani) barabara ya gari hadi shambani,maji yapo,ardhi safi tuwasiliane kwa namba hii 0716792692
N:B nawashukuru tuliofanya nao biashara mnaweza kutoa comments zenu thnks Charles Prosper Lyimo,Juma Husssein,Hamisi Salehe na wengine mlionyesha...
Kiwanja kinauzwa Kijitonyama Kisiwani mbele ya bar inaitwa Heko upande wa kushoto kina hati na kimepimwa kwa mawasiliano zaidi piga namba hii 0716792692(Mi sio dalali ni kiwanja chetu}
Habari ,nataka kukodisha truck loader, kutoa gari kutoka Tanga airport kuja dar,iwe tons 7-10,gari inayobebwa ni Nissan patrol 1.2tons.
Tuwasiliane kwa namba hii 0716792692,As soon as possible please.
Shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea, Bwawa la kihonda kwa bei rahisi..kutoka Msamvu dk 40 kwa pikipiki panaitwa Bwawani unaweza kuchimba kisima Tuwasiliana kwa namba hii 0716792692 Asanteni,Nashukuru kwa waliokuja nakufanya biashara nao na pia walionyesha interest ya kurudi tena.
NB:wandugu...
Nauza shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea, Bwawa la kihonda kwa bei rahisi..kutoka Msamvu dk 40 kwa pikipiki unaweza kuchimba kisima Tuwasiliana kwa namba hii 0716792692 Asanteni
Nauza shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea, Bwawa la kihonda kwa bei rahisi..kutoka Msamvu dk 40 kwa pikipiki unaweza kuchimba kisima Tuwasiliana kwa namba hii 0716792692 Asanteni
Wandugu habari zenu kama muonavyo kwenye picha ni viwanja viwili na kimoja kina nyumba imepangishwa ingine ndio tulikuwa tunajivuta tuimalizie lakini naona eneo hili ni zuri kama tungeviunganisha pamoja tukajenga apartment sasa kusema kweli uzoefu wahi sector bado najifunza kwahiyo ningependa...
Jeff Mobile Car Wash and Msasani City Mall are happy to provide free car wash for all customers who's coming to Shop in the mall on 24th/01/2015 from 11:00-18:00..Karibuni Sana..Msasani City Mall ipo Karibu na American Embassy
From this weekend 6/12/2014 na zinazokuja Jeff Mobile Car Wash tutakuwa Triple 7 sport bar,Kawe Station yetu mpya,karibu uburudike na nyama choma,bigscreen kwa wapenzi wa Football,mandhari mazuri,wakati huohuo tunakun'garishia gari lako na quality products na professional car washers.KARIBUNI SANA.
Habari zenu wakubwa,mi nina wazo lakufanya biashara ya Gypsum,sasa kwa yoyote alie na uzowefu wa hii biashara aliowahi kufanya au ambao wanafanya,naomba mawazo kwenye biashara hii au muongozo katika biashara hii,kwa mfano soko likoje?,upatikanaji wake najua sehemu moja Makanya,Tender upatikanaji...
Wakuu habari zenu na poleni na miangaiko,Happy new year,wadau natafuta sehemu ya kukodisha kwa ajili ya Car wash na tyre fitting,naangaika mwezi wa pili sasa,na pia kuna sehemu zingine rent ni za kustua kusema kweli ,mtu mwenye sehemu au anamjua mtu mwenye sehemu asisite kuwasiliana na mimi...
Wakuu habari zenu na poleni na miangaiko,Happy new year,wadau natafuta sehemu ya kukodisha kwa ajili ya Car wash na tyre fitting,naangaika mwezi wa pili sasa,na pia kuna sehemu zingine rent ni za kustua kusema kweli ,mtu mwenye sehemu au anamjua mtu mwenye sehemu asisite kuwasiliana na mimi...
Wakuu habari zenu na poleni na miangaiko,Happy new year,wadau natafuta sehemu ya kukodisha kwa ajili ya Car wash na tyre fitting,naangaika mwezi wa pili sasa,na pia kuna sehemu zingine rent ni za kustua kusema kweli ,mtu mwenye sehemu au anamjua mtu mwenye sehemu asisite kuwasiliana na mimi...
tunapenda kuwatangazia wamiliki wa magari ,trucks,kampuni binafsi za magari maeneo ya wilaya ya kinondoni jeff mobile car wash tushaanza kutoa huduma za uwoshaji wa magari kokote ulipo nyumbani au ofisini tutakufuata kwa bei nafuu na huduma bora..utafurahi ndugu mteja wasiliana nasi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.