Halafu pale kiseke huenda alikuwa anaenda kumlia mlima wa kiseke au nyuma ya kiseke primary au mlima wa green view bodaboda bana,na hawa wanawake bana,ameliwa umemkanya anaendelea si umuache kama Mayala na Frorian
Kirumba kwa pembeni ndio kulikuwa na nyayo za Bikira maria alitokea pale mitaa ya Ghana saa hivi wamejenga Mall pale...kirumba kama Kirumba,kama hujacheza mpira furahisha au baiko hata magomeni basi hujacheza mpira ukanda huu wa kirumba
Mie bana alisema hawezi kuwa na mtu wa dini yangu maana sie tunaoa wake wengi ataolewa na msabato mwenzie....juzi nimekutana nae kaolewa na dini kama yangu[emoji28][emoji28]
Hahahaa inawezekana mie nimesoma nyanza from 1992-1997.na nilikuwa nakaa kona ya Nera opposite na hospital ya dr chogo,karibu na kiwanda cha pipi karanga ziwani kabisa pale!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaswali kazuri sana...huyo mtu watu wa dini yake anawapandelea wapi directors ni dini wote wa dini yake mmoja tena mama wa watu ana acting,meneja wote wa makao makuu dini yake mmoja tena ana act.watu watufe madhaifu ya bosi wao waseme sio kuzunguka tu.come back home kumeswiting[emoji39][emoji39]...
Huyu mwenzetu alikuwa keshapanga mshahara wa 13 aende beach kidimbwi kitu kimegoma anasingizia hawajalipwa mshahara,TTCL tarehe 15 nauli kapaa,tar 20 advance kapaa tar 25 mzigo mzima unaingia mtu anasema hawalipwi mshahara,huyo mpangaji wenu anafanya kazi labda chemichotex
Sent using Jamii...
sijui wanafunzi nao siku hizi laini,pale TAQWA wakati tunasoma mwanafunzi kula kipigo hadi cha kuchakaa kawaida sana,hadi tukawa tunaona raha kupigwa tu!
umri wao ni sababu kubwa zaidi ya hayo maradhi,mke miaka 18 kuhimili msongo ni kazi bahati mbaya familia yake si ajabu nao hawakuliona hilo.Hapo ndipo swala la mwenzie linapokuja kuwa na nguvu mmoja lazima awe strong kumshika mkono mwenzie kwenye misukosuko kama hivyo,wameenda halafu mgonjwa...
Sasa hii gari bi mkubwa akija nikienda kumpokea pale ubungo kwenye zuberi hatotosha na kiloba cha vibambala,au mama mkwe sudan toka kwenye tashrif korosho na mbaazi zinakaa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.