Search results

  1. vitz14

    Mwanza: Askari adaiwa kumvunja Raia Mguu na Kiuno kwa tuhuma za kuwa na mahusiano na Mkewe

    Halafu pale kiseke huenda alikuwa anaenda kumlia mlima wa kiseke au nyuma ya kiseke primary au mlima wa green view bodaboda bana,na hawa wanawake bana,ameliwa umemkanya anaendelea si umuache kama Mayala na Frorian
  2. vitz14

    Aende chuo na kozi gani kati ya hizi?

    Kama yupo timamu upstairs aende Ardhi,kama yupo timamu hardware endee IFM kama yupo timamu software aendee TIA
  3. vitz14

    Ijue Kirumba jijini Mwanza kwa maandishi

    Kirumba kwa pembeni ndio kulikuwa na nyayo za Bikira maria alitokea pale mitaa ya Ghana saa hivi wamejenga Mall pale...kirumba kama Kirumba,kama hujacheza mpira furahisha au baiko hata magomeni basi hujacheza mpira ukanda huu wa kirumba
  4. vitz14

    Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

    Mie bana alisema hawezi kuwa na mtu wa dini yangu maana sie tunaoa wake wengi ataolewa na msabato mwenzie....juzi nimekutana nae kaolewa na dini kama yangu[emoji28][emoji28]
  5. vitz14

    Natamani na nawashauri wadada wote mvae shanga

    Hii kitu bana mie nkiona hata bahati mbaya kwenye daladala napitiliza kituo niko radhi nchelewe nizione mpaka mwisho bana...zinanivuruga
  6. vitz14

    Tujikumbushe MV Bukoba enzi za uhai wake

    Hahahaa inawezekana mie nimesoma nyanza from 1992-1997.na nilikuwa nakaa kona ya Nera opposite na hospital ya dr chogo,karibu na kiwanda cha pipi karanga ziwani kabisa pale! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. vitz14

    TTCL lipeni wafanyakazi wenu, wanaadhirika mitaani

    Kaswali kazuri sana...huyo mtu watu wa dini yake anawapandelea wapi directors ni dini wote wa dini yake mmoja tena mama wa watu ana acting,meneja wote wa makao makuu dini yake mmoja tena ana act.watu watufe madhaifu ya bosi wao waseme sio kuzunguka tu.come back home kumeswiting[emoji39][emoji39]...
  8. vitz14

    TTCL lipeni wafanyakazi wenu, wanaadhirika mitaani

    Huyu mwenzetu alikuwa keshapanga mshahara wa 13 aende beach kidimbwi kitu kimegoma anasingizia hawajalipwa mshahara,TTCL tarehe 15 nauli kapaa,tar 20 advance kapaa tar 25 mzigo mzima unaingia mtu anasema hawalipwi mshahara,huyo mpangaji wenu anafanya kazi labda chemichotex Sent using Jamii...
  9. vitz14

    Nani anamiliki data zinazowezesha kutumia mtandao intaneti?

    TTCL anachukua kutoka SEACOM ambae ni operator wa Africa sijui na yeye anachukua kwa nani
  10. vitz14

    Mambo ya kuzingatia kwa wanaume wenye umri chini ya miaka 45

    hii ipo kwenye namba tatu sema hajaitaja hii nayo ni self defence
  11. vitz14

    Kyela: Mwalimu mmoja wa shule ya sekoondari Kyela ampiga mwanafunzi kwa fimbo zisizo na idadi hadi kulazwa

    sijui wanafunzi nao siku hizi laini,pale TAQWA wakati tunasoma mwanafunzi kula kipigo hadi cha kuchakaa kawaida sana,hadi tukawa tunaona raha kupigwa tu!
  12. vitz14

    Wanakijiji wasimulia mkasa wa wazazi waliojiua Tabora baada ya kukosa hela ya matibabu ya mtoto wao

    umri wao ni sababu kubwa zaidi ya hayo maradhi,mke miaka 18 kuhimili msongo ni kazi bahati mbaya familia yake si ajabu nao hawakuliona hilo.Hapo ndipo swala la mwenzie linapokuja kuwa na nguvu mmoja lazima awe strong kumshika mkono mwenzie kwenye misukosuko kama hivyo,wameenda halafu mgonjwa...
  13. vitz14

    Shinyanga Kahama: Askari ajiua kwasababu ya kukosa watoto

    stress,unakosa mtu wa kumwambia shida zako,au unaemwambia anaonekana kutokujali...kinachofata ndio haya matokeo!
  14. vitz14

    Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    Kule utasema kuna hisa na watu wa sinza na mabibo,mie huwa nikiwapata tunaenda jamboree mabibo saaaaafi
  15. vitz14

    Vijana acheni kula Tigo

    Naomba namba yake mkuu
  16. vitz14

    DSTV king'amuzi bora kuliko vyote vinavyopatikana Tanzania

    Wekeni miamvuli juu ya madish kamwe hamtopata adha
  17. vitz14

    Tunashabikia UEFA Champions League lakini pesa anayolipwa bingwa wa EPL ni kubwa zaidi

    Itakuwa belekum chelsea timu ya zamani ya hans van pluijm
  18. vitz14

    Kutokana na hali ya kiuchumi natamani Tanzania tupate gari kama hizi

    Sasa hii gari bi mkubwa akija nikienda kumpokea pale ubungo kwenye zuberi hatotosha na kiloba cha vibambala,au mama mkwe sudan toka kwenye tashrif korosho na mbaazi zinakaa wapi?
Back
Top Bottom