DSTV king'amuzi bora kuliko vyote vinavyopatikana Tanzania

DSTV haina mpinzani hapa Tanzania!
Kama dishi la dstv likifungwa vizuri yaani wakati wa initial installation Sginal strength ikiwa 94 au zaidi na Signal quality hivyo hivyo hakuna picha kupotea!
Nipo mkoa wa Kilimanjaro na ni mteja wa DStv kwa zaidi ya miaka kumi sijawahi kuexperience tatizo lolote iwe mvua au jua!
Itachukua miaka mia na ushee hapa Tanzania kuwa na mshindani wa dstv kwa wenye hela zetu!
Dstv hata sound yake iko clear sana. Ukitaka enjoy i hook up kwenye tv na sound system utaipenda zaidi.
 
Dstv quality sana, najiulizaga kwanini wasitoe huduma ya kuuza channel moja moja kwa bei nafuu ili watu wajikune wanapofika. Mfano mi Ninunue za wanyama kama discovery channel, entertainment kama sony max, na za mziki kama trace mziki, soundcity pamoja na moja ya cartoon kwa ajili ya watoto tu hata kwa 10k hizo zingine zote wapige makufuli waache za local free.
Au wafanye pay per view, kwamba mtu ukiwa na shida ya mechi moja basi unalipia hio hio tu. Ikimalizika na salio linaishia hapo. Wangekuwa wamesaidia wengi sana.
 
DSTV na mvua? Wewe utakuwa unaongea kinyume!
Hata mimi nimemstukia,mimi ilibidi niweke kwenye tochi ile ya kwenye ungo kipande cha chupa ya plastic kwa nia ya kuifunika ili isilowe na mvua lakini wapi...
 
Kupata habari ni haki ya kikatiba , ni makosa kuwakosesha habari watu waliolipia , ni wizi wa mchana na haukubaliki .

Kupokea malipo ya wananchi ili kuwapa huduma ya kuwaonyesha channel kadhaa ni mkataba na ni lazima utekelezwe , inyeshe mvua au liwake jua .

Ndani ya ofisi yangu iliyoko Mbozi road karibu na chuo cha VETA tumeweka ving'amuzi kadhaa , vikiwemo StarTimes , Azam na Dstv , lakini cha kushangaza kwa zaidi ya masaa 7 ni DSTV pekee iliyo hewani , zingine zote zimezima kwa sababu ya mvua , ni nani atanifidia masaa haya yaliyopotea bure ? je mvua ikiendelea kwa siku kadhaa itakuwaje ?

Nakala kwa TCRA
ninyi watu wote mliolalamika hapa, kuna kitu mnakikosea ktk dish, madishi yote Mnatakiwa kuyafunika pale ktk jicho yasiingie maji. Dish lolote likiingia maji tu Pale katika jicho , ni shida.
 
Dstv quality sana, najiulizaga kwanini wasitoe huduma ya kuuza channel moja moja kwa bei nafuu ili watu wajikune wanapofika. Mfano mi Ninunue za wanyama kama discovery channel, entertainment kama sony max, na za mziki kama trace mziki, soundcity pamoja na moja ya cartoon kwa ajili ya watoto tu hata kwa 10k hizo zingine zote wapige makufuli waache za local free.
Nilisikia kuna kitu inaitwa Dstv Explorer 'ambayo ndio unaweza kwenda nayo ki mtindo huo! 'Niko tayari kukoselewa'
 
utakuwa unaishi kwenye korongo , kwa DSM leo na mvua hii kwa zaidi ya masaa 8 iliyokuwa hewani ni DSTV peke yake .
Nipo tambarare, DSTV mvua/wingu zito inakata hasa hasa SS3. Huu ni ukweli hata wenyewe wanaujua na hawawezi kufanya chochote. Ngoja nifike nyumbani jioni nione.
 
Hakuna cha dstv wala king'amuzi gani kama kinatumia mfumo wa Ku band wakati wa mvua ni lazima kusumbua hiyo ndio technical challenge except kama unatumia mfumo mwingine kama c band na kama hilo tatizo lingekuwa linatibika basi hata hao wengine wangelitibu yaana hata utumie dish size gani kunapokuwa na mawingu kati ya satellite na dish downlink ya Masafa ya Ku hushindikana
 
Nipo tambarare, DSTV mvua/wingu zito inakata hasa hasa SS3. Huu ni ukweli hata wenyewe wanaujua na hawawezi kufanya chochote. Ngoja nifike nyumbani jioni nione.
kama ss4 na zingine zinakuwepo huoni kama ni bora zaidi kuliko Ving'amuzi vingine vinavyozimika moja kwa moja ?
 
Kuna kitu kinaitwa RainFade hii kwa kila kiumbe yeyote mwenye dish anayetumia satellite iliyoko juu lazima kimkumbe. dish lolote lile ili mradi linawasiliana na satellite iliyowekwa pale juu bhaaas! ikishatokea mvua kali au wingu la kutosha mawasiliano ya dish na satellite yanakatika.
 
DSTV haina mpinzani hapa Tanzania!
Kama dishi la dstv likifungwa vizuri yaani wakati wa initial installation Sginal strength ikiwa 94 au zaidi na Signal quality hivyo hivyo hakuna picha kupotea!
Nipo mkoa wa Kilimanjaro na ni mteja wa DStv kwa zaidi ya miaka kumi sijawahi kuexperience tatizo lolote iwe mvua au jua!
Itachukua miaka mia na ushee hapa Tanzania kuwa na mshindani wa dstv kwa wenye hela zetu!
Saidia maskini sisi Baba
 
Back
Top Bottom