kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,129
- Thread starter
- #81
vp na kama mtoto wako si mtukutu na hukuwahi pewa kesi yoyote ya utukutu kama mzazi ghafla tuu unaambiwa mtoto wako kalazwa hospital hajiwezi na hapo umeuguza week mbili mwanao...Ukifukuza shule si ndo unataka na wewe ufukuzwe kazi mkuu.
Kizazi cha sasa ni dhaifu na kitukutu mno.
Walimu visirani wapo tunajua ila kama mwalimu kambonda mtoto kwa kosa stahiki acha abonde.
Tufikirieni kipindi cha shule utukutu waliokua nao wanafunzi jamani afu jifanye wewe ndo mwalimu siutaua
Sent using Jamii Forums mobile app
hupati ushirikiano wowote toka kwa walimu hadi mawanao anapona vp kama mzazi hapo utasemaje!?