Hatari sanaNoma sana BAD-OOView attachment 778131View attachment 778132
Wazinzi utawajuaSoko letu huria
Kule utasema kuna hisa na watu wa sinza na mabibo,mie huwa nikiwapata tunaenda jamboree mabibo saaaaafi
Ukijibiwa naomba unitag me mwenyewe sielewi..Aiseee kwani kunafanyika nini huko badoo?
Na wewe uko kundi gani? Maana inaonekana huko ni mwenyejiUkiwa na mume yupo badoo andika huna mume
Ukiwa na mke yupo badoo andika huna mke
Huo ndo ukweli badoo umegeuka mtandao kama wa kujiuza hivi
Ukiwa mpenzi wako, bae, dear, honey, boyfriend,girlfriend, yupo kule andika maumivu
Mwanaume wa badoo au mwanamke wa badoo ni wa wengi wala sio wa mmoja au wako peke yako
Halafu badoo kuna wanaume ambao "hawaeleweki" eleweki wanamambo ya 4g
Social network mkuuUkijibiwa naomba unitag me mwenyewe sielewi..
badoo what is it??
Umeonae ?Hata wa kwako atakuwepo anatumia id fake na picha ya mzungu