Naomba kufahamishwa sababu ya serikali kushindwa kuruhusu ujenzi wa vituo vya Gesi asilia kuenea nchi nzima.
Nimeona wabunge wakilalamika bila kuadress issues haswa ni kwa nini Kuna vituo viwili tu vya Gas asilia ya kwenye magari nchi nzima ukizingatia matumizi yake ni cheap na Affordable kwa...
Week iliyoisha siku ya jumatatu nilikuwa nafatilia namba ya NIDA katika halmashauri ya Nyamagana. Nikaenda pale ofisi za NIDA nikaambiwa niwasubiri watumishi wameenda Kunywa Chai, nikasubiri mpaka saa 10 jioni walikuwa bado hawajarudi baadae nikaambiwa wameondoka nirudi kesho. Yarab!
Niliporudi...
Wana jukwaa naomba kujua namna ya kujua alipo mwizi wangu aliyenitapeli mil 1. Nimejuana nae kwa kuunganishwa na jamaa mmoja kwamba anauzq spare parts.. amekuwa akiniuzia natuma pesa anatuma spea lakini hivi karibuni nilituma mil 1 ili anifungie mpk sasa siku ya 5 hapokei simu anajibu sms tu...
Wanajukwaa mimi ni mmiliki wa trekta zaidi ya moja naomba kujua ni maeneo gani yanauhitaji mkubwa wa trekta wakati wa msimu wa kilimo na ni mwezi upi? Kama mtu Anauhitajika na trekta la kulima naomba aje inbox Chap..!!
Mpaka sasa utafiti wa FaizaFoxy haujapata mpinzani hasa kuhusu asili ya neno Dar Es Salaam. Bado ni ujinga kukataa evidences alizotoa kwa sababu nyepese za kiimani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.