Poleni na mihangaiko wana JF.
Naomba ushauri nifanyeje hapa nilipopanga majirani zangu wanamcheka mpenzi wangu walikuwa ndani wakicheka huku housegirl akiwa mlangoni nikaona housegirl naye anacheka huku akijibu eeh kaja aliponiona mimi akafunga mlango.
Mimi nilihisi wanacheka jinsi anavyo...
Habari JF.
Mimi ni mama mjamzito mimba imeshaanza mwezi wa nne. Tatizo langu kubwa usiku ninajigeuza sana mpaka naogopa.
Naomba mnisaidie ni hali ya kawaida au nitakuwa nina tatizo.
Nitashukuru kwa msaada wenu.
Habari zenu wana JF, nimeenda kuripoti kwenye kituo cha kazi ijumaa iliyopita. Hiyo kazi nimeipata kupitia Utumishi. Huyo Afisa utumishi anataka leaving certificate ya A level na O level.
Kasema sitaingizwa kwenye payroll bila hizo leaving certificate. Mimi nimesahau nilipoweka.
Je...
Habari zenu wana Jf. Naomba msaada simu yangu wakati wa kuicharge nisipoingiza kwa nguvu na kushikiria haiingii. Naomba msaada nifanyeje. Msaada wenu mhimu sana pia nitashukuru.
Habari zenu wana Jf. Najua kuachana kwa wapendanao ni jambo la kawaida kwa dunia ya sasa. Ulipokuwa katika uhusiano na yule ulieachana nae alikuwa anasoma au hana kazi. Mlipoachana rasmi baadae unasikia x boyfriend wako ana kazi nzuri yenye mshahara mkubwa. Unajisikiaje.
Habari za jioni wana Jf. Kuhusu overscratched voucher za Tigo nani wa kutusaidia ni TCRA au . Hapa nilipo nimekwangua voucher vibaya nimepiga call centre wamesema niende Tigo shop na nipo Lindi. Ivi serikali yetu imeshindwa kuzuia utapeli wa aina hii. Hizo Tigo shop zipo ngapi hapa Tanzania...
Habari wana jf. Leo asubuhi nimetoa hela bank NMB kwenda kwenye Tigopesa. Kabla sijatoa niliangalia salio bank. Nilipotuma pia nikafanya mahesabu nimegundua ukitoa hela bank kuja Tigo pesa kuna makato lakini hawajatuweka wazi.Sitarudia tena kufanya hivyo.
Habari wana JF,
Mapenzi ya siku hizi ni majanga mtu anadiriki kukuumiza bila sababu anayokwambia iliyopelekea akuache.
Ni afadhari kutembea na mme wa mtu kwa sababu unajua kabisa sio wako.
Habari zenu wana MMU. Nilikuwa na bf kwa bahati nzuri nina ujauzito wake.Nilipomwambia alinipa hela niitoe mimi sikuitoa nikakaa kama miezi miwili nikamwambia mimba sikuitoa kwa sababu naogopa kufa. Akasema atatoa matunzo nikijifungua na kudhibitisha mtoto ni damu yake ila kwa sasa hata changia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.