Natafuta canter nibebee mizigo yangu Arusha mjini, dereva wangu, mafuta yangu kwa wiki nalipa laki mbili kwa mmiliki wa gari kazi ni endelevu.
Mwenyenalo tuwasiliane 0686457546
vijana waliotajwa hapo juu kwa lengo la kuuza vitabu kwa kuvitembeza malipo sh 80,000 kwa mwezi.kwa maelezo zaidi tuna meseji namba 0754 870 398 ,andika jina umri na mahali unapoishi tunapatikana Dar es Salama
VIGEZO:
-Awe mchangamfu
-Uwe na mdhamini 1,na awe mzazi au ndugu
used lorry
aina:mercedes benz
model:1114
liko katika hali nzuri ,
linafaa kwa biashara ya kusafirisha mizigo mikoani n.k
mawasiliano
0754 311 336
0654 371 337
liko dar
Ningependa kujua jinsi ad business inavyofanya kazi, naomba mwenye details ani pm tuwasiliane. .Naamini jf ni site pekee apa tz ambayo ukihitaji msaada lazma kutakua na mtu wa kukusaidiai,
Cku ya jana wamefariki watu wawili kwa kuzama ,katika kupita pita online nimekuta case kama 10 za wa2 kuzama mwaka huu tu. . .uongoz wa koko hamuoni umuhim wa kuweka lifeguards ili wasaidie ? Au adi afe nan ndo mshtuke?
Nauza laptop aina ya dell vostro 2521
specifications:
RAM 2GB Processor intel core i3
HDD 320 GB
Operating system:windows 7 na linux mint latest(dual os)
Webcam Bluetooth
Wi-fi
15.6 inch screen
DVD RW
Bei 470 ,000 /=
Imetumika miezi mitatu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.