Ndugu yangu daraja la Tanzanite ni mpango wa Kikwete kwa 100%. Magufuli aliukuta tu, Samia akalizindua.
Ule ulikuwa ni msaada wa Korea kusini baada ya kutuhonga kwenye uchaguzi wa kumpata katibu mkuu wa UN, ambapo Tanzania ikatumia ushawishi wake Afrika (kwa kuwasaliti waafrika tusimchamgue...
MASWALI
1. Je, kila mara Rais anapofanya kikao cha baraza la mawaziri huwa umma tunapewa taarifa rasmi?
2. Je, serikali inawajibika kila wakati kutupa taarifa za uwepo wa kikao cha baraza la mawaziri kila kinapoitishwa?
3. Nini mantiki au umuhimu wa sisi watanzania kutangaziwa kuwepo kwa kikao...
Sema watanzania kupitia kodi zao ndio wametoa hizo pesa. Na rais anawajibika kuzisimamia zikafanye kazi iliyokusudiwa.
Rais Samia hana hiyo pesa, na hata angekuwa nayo isingeweza kuitoa.
Ulichokiandika ni ukweli mtupu 100%.
Kwa kuongezea.
21. Tanga mjini baiskeli ndio kila kitu, unaweza kuhisi kila mtu anajua kuendesha baiskeli, kila nyumba kuna baiskeli, baiskeli zinapiga miche za kubeba watu kama boda boda.
22. Tanga hakuna haraka, hakuna stress, watu waishi kwa kuridhika...
Hizo vitu zingekuwa kweli zinagawiwa bure kwa watoto au kuuzwa kama njugu huko Arusha, mpaka muda huu huenda kila 'Mdudu' pale Arusha angekuwa nazo mfukoni kama 10 hivi, na mpaka muda kituo cha Polisi mjini kati (Ngarenaro) pale Arusha kungekuwa na mafuriko ya watu waliotandikwa risasi.
Huenda watanzania ujinga hautakwisha vichwani mwetu milele. Hiyo video inayosambaa ni ya wajinga tu, hakuna kitu kipya cha ajabu. Ni uzushi mtupu.
Ngoja niweke sawa.
1. Video halisi haijachukuliwa hapa nchini, na mzungumzaji halisi haongei kiswahili, na alikuwa akionyesha na kueleza bunduki...
Japokuwa mimi binafsi simkubali mama Samia, hususani kwenye uwajibikaji, lakini kiukweli kwenye Uchumi, Siasa na Jamii amefanya pakubwa zaidi ya Magufuli.
Mama ameweza kuifungua nchi iliyokuwa gizani, kifungoni na kaburini. Yule mwamba wa Chato alituzika shimoni tukiwa wazima huku chawa wake wa...
Issue sio una pato kubwa kiuchumi, issue ni uchumi wako umetapakaa kiasi gani kwenda sambamba na idadi ya watu waliopo.
Mfano rahisi ni huu.
Kuna kijiji A, ambapo kuna mabilionea wawili wakiishi wakiishi hapo wenye utajiri wa shilingi Trilioni 1 (bilioni 1000) na katika kijiji hicho hicho kaya...
Acha kuongea uongo hapa.
Mgao wa umeme ulitandika nchi nzima, na mikoa tajwa mgao ndio ulikolea kupita maelezo.
Hakuna mkoa ambao haukuguswa na mgao wa umeme safari iliyopita.
Sawa mimi ni Bwege.
Wewe mwenye akili timamu sasa niambie ilikuwaje wakati wa mgao wa umeme wa nchi nzima, hiyo mikoa ya Rukwa, Katavi na Kagera mgao ndio ulikuwa mkali kupita maelezo?
Nani kasema?
Hivi unajua Kagera inao umeme wa gridi ya taifa kabla ya Kigoma, Lindi na Mtwara?
Sasa kama haiko kwenye gridi ya taifa kwanini wakati wa mgao wa kitaifa (kwa sababu ya upungufu wa umeme wa gridi ya taifa) nchi nzima iliathiriwa (yakiwemo hiyo mikoa ya umeme wa kununua nje ya nchi)?
Acha ujinga ndugu yangu.
Hapa Tanzania kwa sasa hakuna mkoa ambao bado haujaunganishwa na gridi ya taifa.
Mikoa ikishaunganishwa na gridi ya taifa maana yake, switch ya kugawa umeme kitaifa ikiwashwa (kwa mfano pale Ubungo) kila mkoa unaweza kupata umeme.
Jiulize hili swali ili kupima akili...
Kamanda Murilo amechemka kwa 100%. Taarifa yake imepikwa bila kuiva. Uongo wa taarifa yake uko hapa.
1. Anasema marehemu hakuwa na utambulisho wowote (yaani hata polisi walikuwa hawamju, lakini baada ya kufariki na kupelekwa hospitali ya kituo cha Polisi Kilwa, mara moja ndugu zake walifika...
Ni presha za uchaguzi wa 2025, hivyo wanasiasa wanachafuana sana ndani ya CCM. Jamaa anapiga pesa kwa huo mchongo kwa kuletewa hizo picha na watu wengine.
Watanzania acheni pombe, pombe itaendelea kuwatandika vibaya na kufupisha maisha yenu.
Baada ya Kibonde, Gardner na George Bantu kujigundua wao ni walaibu wakubwa wa pombe, wakaamua kuisifia pombe, kuipa promo na kuvuna matangazo ya pombe.
Sijui ni nini kimehusika kukatisha maisha ya Gardiner...
Wairan wa buza naona mmekuja JF kufarijiana baada ya jaribio lenu la kuishambulia Israel kushindwa kwa 99%.
Mzayuni hanaga dogo, anatwanga popote na yoyote. Haogopi mtu.
Nitashangaa sana kama Simba yangu tutarudi uwanjani kuendelea na mechi.
Na kama wachezaji wakirudi uwanjani basi mashabiki taratibu tuondoke uwanjani, maana kuna kilio kikubwa kinakuja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.