Hii nchi ina vituko Sana, na kwanini bei ya unit moja ya umeme ibakie ileile ya kipindi cha ukame na wakati sasa hivi wanasema Wana umeme ambao hawajui pa kupeleka? Tusidanganyane bado umeme ni tatizo nchini
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.
Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.