Pamoja na kwamba sipendi kunyanyaswa kwa hao vilema, tunachojua wote ni kwamba siku hizi uwezo wa mwanaume kutongoza ni kuwa fisadi. Ukiwa fisadi tayari una uwezo wa kutongoza hata wanawake wanaopania kuwemo katika list ya wabunge wa viti maalum.
Udhaifu wa zoezi la sensa jijini Mwanza umeingia hatua nyingine tofauti na ya jana ya kuchelewesha malipo ya makarani wa sensa iliyowekwa hapa.
Udhaifu huo wa jana haukuishia kufanya makarani wachelewe kupatiwa posho yao ya kuanzia kufanya sensa, lakini pia hawakupewa sare yaani utambulisho...
Mwaka jana siku ya kufunga Bunge kama muda huu Waziri Mkuu alitoa list ya kampuni zinazoongoza kulipa kodi na Vodacom ilikosekana kwenye hayo 10.
Kuna tetesi kuwa hii ni moja ya kampuni inayoajiri wageni zaidi kuliko wenyeji tena kwa kazi ambazo wenyeji wana uwezo nazo. Kwamba kuna wahindi...
Hivi unadhani kila mmoja angekuwa na access ya kuchota hela za EPA nani angelalamika kuongezwa mshahara. Waulize hao uliowataja kama wanaweza kukueleza walivyopata capital ya kuanzisha unavyoviona.
Wakikujibu, basi unastahili zawadi.
Hebu sema kwa mujibu wa IQ yako ni mahala gani kwenye post yangu nimesema Ubunge, Uwaziri ni profession?
Unadhani wakati ninapost sikujua kwamba ubunge si proffession ya kupata chuoni? Nimeandikapost kistaa nikijua mpo mtakaokurupuka kana kwamba nimesema hivyo ni profession.
Wewe, unatakiwa...
Kwanza combination yake unapoingia form five ni Physics, Chemistry na Biolology (PCB), au Chemistry, Biolology, Geography (CBG).
Anyway siku hizi University zimekuwa kibao hivyo maadam una Biology na Chemistry basi kuna kila linalowezekana ufike form six na baada ya hapo usomee udaktari...
Mkuu,
Nakuomba uongee kidogo kuhusu Jaji Mkuu na Jaji wa Zanzibar kuongoza kamati ya Bunge.
Maana yake ni kwamba Bunge linaweza kutengeneza kanuni inayoruhusu hata wewe uwe mwenyekiti wa Kamati ya Bunge.
Kazi ya kutunga Kanuni hiyo ni ya Bunge na inafanywa mace ikiwepo. Lakini Kamati...
Sijui unawezaje kudhani logically unaweza kudanganya watu wazima kama sisi. Unaposema kulikuwa na kfingu cha kura ya maoni baada ya miaka 10, basi kifungu eleza hicho kilinyofolewa lini.
Maana Bunge la Tanganyika lilipoujadili ndiyo ukaenda public kwa mara ya kwanza na hivyo kingeonekana au...
Kuna watu kwa makusudi hupenda ubishi usiishe kwa sababu tu ya kupachika neno "tafsiri" hata kwa terms zilizo obvious.
Msipojikita kwenye Sheria za viapo (Oaths) na Sheria za Kutafsiri Sheria (interpretations) basi mtakaa mbishane kila kukicha.
1: Unazieleaje hizo za kwenye bold.
2: Toka Jumbe na wengine waliopata ku-publish kopi yake, hakuna aliyewahi kukanusha au kumshtaki aliye-publish kwamba ana-mislead public.
3: Hata humu JF, naona sanasana watu wako sceptical tu, lakini sioni anayekana kwamba content za Mkataba tulizoletewa na...
Heshima zako mkuu,
Hivi haiwezekani mtu kufungua kesi kwenye mahakama ya kimataifa, I mean kesi kama zile za Mtikila kudai hizi article ambazo ziwekwe wazi.
Kama ikithibitika kwamba kweli haziko, basi maana yake hazikuwahi kuweko na hivyo muungano ni batili.
Sijui unasemaje na mnasemaje?
Wote wawili hapo kwenye RED mnatakiwa mkapimwe akili zenu. Hakuna sentensi au hata nukta katika historia ya binadamu inayoonyesha kwamba mzazi ana haki ya kumfanyia ukatili mwanae!
Kanisa Katroliki linapogundua mzazi kamfanyia ukatili mwanae kwa kumuua kwa njia ya abortion basi hata kumzika...
Nani kataja neno wanajeshi.
Wanaojua kusoma wamesoma habari nzima na chini ya ile picha imeandikwa hivi:
{Waziri Mkuu wa Uganda, Amma Mbabazi, akizungumza na wabunge wa NRM katika mkutano wao huko Kyankwanzi....}
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.