kaka Mwanafyale kuna maneno hapo umeniacha njia panda "ndoa ya kikatoliki" na ''magari ya mafuriko'' naomba kidogo ufafanuzi kidogo hata nami ikifika wakati wa kununua gari nipate kuelewa
Ahsante
kulikuwa na story kama hii miaka ya nyuma lakini si ya ukweli, mstakiwa alibaka msichana ndugu zake wakaenda kwa mganga na mganga akafanya mambo yake ya mazingaombwe na mshitakiwa akaoneka ana sehemu za siri za kike hakimu akamwacha huru kashinda kesi, kurudi kwa mganga bahati mbaya kakuta yule...
Big up stunna kwa mada yako ya manufaa, namuunga mkono pia bwana sengeon tukutana kama watu watatu au wanne walio serious tupange mikakati ya kufanyia kazi swala hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.