Good observation ingawa haibadili ukweli kuwa CCM wamefanya mikutano mingi zaidi kuliko chama chochote, mgombea wao kila wilaya au centre kubwa anasimama na kuhutubia tofauti na vyama vingine ambavyo vinaenda mkoa kwa mkoa.
Nimeona nilisemelee hili mapema kabla kampeni hazijaanza, kiukweli kurugenzi ya mawasiliano CHADEMA imepwaya sana suala la organization ya huu mkutano mkuu. Mtu anaweza kuwaza kuwa uhaba wa vyombo vya habari kwenye Mkutano ni kwa sababu vyombo vya habari vina uoga lakini ukweli ni kwamba...
Kati ya visa ngumu kuzipata ni pamoja na ya Uingereza. Hizo kazi wanapewa watu wa visiwa vya Caerebbean ambao wana unafuu kutokana na kuendelea kumtambua malkia Elizabeth kama mtawala wao.
Hizi akili nyingine sijui mnazipata wapi. The fact kwamba dola inatumia nguvu kubwa kuizamisha chadema inamaanisha Mbowe ni tishio na haitaji kwenda kujipendekeza kwenye system kama wanavyofanya kina Mbatia na Lipumba.
B. Dozen kuondoka Clouds wengi wanadhani ni sababu za marupurupu au kumsifia Diamond waziwazi ila ukweli ni kuwa chokochoko zilianza mwaka juzi baada ya marehemu Ruge kumchukua Kennedy toka East Africa Radio na kumuweka kwenye XXL akiwa na lengo la kumfanya awe sura ya kipindi.
Kwa miaka zaidi...
Ni wizara muhimu sana katika nchi kama ingekuwa ni timu ya mpira tungesema ndio namba 6, maana ukivuruga viwanda na biashara wizara nyingine na taasisi za serikali haziwezi kujiendesha kutokana na ukweli kwamba makusanyo ya kodi yakikwama kutokana na biashara kutokuwa nzuri uchumi unayumba.
Ni...
Kwanza tukubaliane CCM Segerea inapumulia mashine. Hawana diwani hata mmoja na 2015 isingekuwa ujinga wa chadema kusimamisha mgombea pengine Mtatiro ndiye angekuwa mbunge
Taarifa za chini ya kapeti ni kuwa suala la bomoabomoa ya nyumba 17,000 iliyotangazwa kufanyika Dar kusitishwa kutokana na rais kutokuwa na taarifa nayo ukweli wake haswa ilikuwa ni wabunge wa majimbo ya Ilala na Segerea kwenda kulalamika Ikulu kwamba bomoabomoa hiyo inatishia maelewano yao na...
Kwa wiki nzima hii ukifuatilia kinachoongelewa katika mitandao ya kijamii na kwenye vipindi vya burudani ni ugomvi unaowahusisha Diamond na Alikiba, yote ikianza baada ya wimbo wa Fid Q aliowashirikisha Diamond na Rayvanny kutoka na kusikika mashairi yaliyoonekana kama yanamlenga Alikiba.
Mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.