Nina mdogo wangu ana tatizo hilo linamtesa sana toka akiwa mdogo amefanyiwa operation mara kadhaa na bado unajirudia. Ulimtokea ktk eneo la pua na jicho.
Nawakaribisha wataalamu kwa msaada kama kuna dawa maana hospital anaambiwa ni upasuaji tu sasa atapasuliwa mpaka lini? Ndo tunawaza hapo
Vipi kwa tatizo la neurofibromitosis kuna dawa zinazowezaondoa uvimbe hasa uliomtokea mdogo wangu kuzunguka jicho na pua amefanyiwa operation 3 ila unarudi tu.
+255693364917
Wadau nilipigiwa simu na hii namba jana asubuhi nikiwa kazini nikashindwa kuipokea ila kila nikiipigia naambiwa si sahihi.
Katika kuipa umakini wadau wananambia namba zenye mfumo huu huwa ni za kuitwa ktk usaili, nikataka kujua kutoka humu kama kuna mwenye uzoefu na hili hasa kwa...
Kutokana na kuwepo kwa makundi ya vijana wasio na maadili hasa vibaka katika mitaa yetu, nafikiria kuanza kutembea na silaha aina ya KISU (special) popote pale kwa ajili ya kujilinda. Naomba kujua kutoka kwa wajuzi wa sheria kama hili jambo ni halali kisheria au kuna utaratibu wa kufuata...
Dagaa waliokaangwa vizuri na wazuri walio katika grade nzuri kutoka ziwa Victoria wanapatikana kwa bei nafuu mno itakayokupa faida nzuri utakapouza kwa rejareja hata kwa jumla. Kama utahitaji kutoka mikoani nitakutumia.....
Nipm tufanye biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.