twendeni moja kwa moja katika jambo ,Kuna rafiki yangu alikua akiuguliwa na mke wake nae hakua na pesa ilimbidi amwone mshkaji amkope pesa akalipie matibabu , mke akapona na akaruhusiwa kutoka hospital akiwa mzima kabisa.
Baada ya wiki moja jamaa angu akamlipa pesa nusu jamaa ambaye ni laki...
Poleni na kazi,
Naomba nitoe angalizo kama kichwa cha habari hapo juu,
Jana nilikwenda bank moja pale Lumumba kutoa pesa kwa ajili ya biashara zangu. Nilikuta foleni kubwa pale kutokana na umuhimu wa Pesa nilikomaa ktk foleni kama masaa mawili hivi na nikafanikiwa kuchukua Pesa kiasi cha 3.5m...
Jamani kizuri kula na ndugu yo, hakuna mtu asiependa pesa. So this is your chance to make money by doing a very simple task. Just click here and see guyz. GetPaid4Visits.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job
Mtoto wa generali wa jeshi nchini China amehukumiwa miaka kumi jela kwa kosa la ubakaji.Dogo ana umri wa miaka 17.
Najiuliza ingekuwa bongo hukumu yake ingekuwa vipi kutokana na cheo che baba yake?
Utafiti umeonyesha baadhi ya vitu vilivyosababisha ndoa za babu zetu zidumu ilikuwa babu na bibi kulala pamoja kwenye vitanda, ngozi za wanyama au mikeka yenye ukubwa usiozidi futi 2.5. Umbali wa futi 2.5 uliwawezesha wanandoa kuwa pamoja na kugusana usiku kucha.
Hii iliwalazimisha waongee...
Leo ni siku ambayo mwanamuziki wa hip hop chid benz baada ya kukataa kutumia madawa ya kulevya hatimae leo kasema ameacha.swali ni je vita zidi ya madawa ya kulevya itawezekana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.