Nah! Haipo active. Ni kama tumekutana wote tupo busy na maisha. Mtu anaeza request troops leo ukaja keshokutwa ukakuta request yake bado ipo. Labda kapewa troops 5/20. Clan haipo active kabisa.
Townhall 9 Level 87 mkuu. Nimekwama hapo kitambo nimepunguza kuicheza, huku mbele inazidi kuwa ngumu ku loot(opponents are tough). Inanipa uvivu maana sina muda na majukumu ni mengi[emoji28]
Tuulize au waulize wanaoishi upanga. Huo mlipuko tumeusikia usiku na wengi wetu tumeamka. Sasa kama unataka kutuaminisha ilikua baruti sawa. Na transformers kila siku zinalipuka huku tushazizoea. Sasa cjui utasema ni nini?
Unamsaidiaje asiyetaka kusaidiwa? TL akiongea wanamwita mchochezi. Atleast enzi za JK wapinzani wakilipua bomu utaona serikali inafix au JK anawaalika ikulu kabisa wanasaidiana kusolve issues nchi itulie. Kufichua hiyo siri ya Bombardier tu ni msaada, or else zingelipwa hayo mahela bila wananchi...
Sasa kipind kile ndo alikua kazaliwa, alikua na moto nae. Mtoto wake wa kwanza. Sasa ulitaka brand yake iendelee na moto ule ule wakat katoto hakajui hata kuongea vzur?. Hata Asahd wa Dj Khaleed itafika wakat mtamwona wa kawaida tu. Hakunaga kiki za milele
Ukiquestion unaitwa mchochezi, bora ukae kimya. Hata maneno tu anayoongeaga kwenye hizo ziara naonaga ni siasa tu za kuwaponda wapinzan ila wakiongea wao ni uchochezi. Ngoja waje wa jengo la kijani kutetea, maana wanatetea kila kitu. Sema ukweli wanao mioyoni mwao kwamba hali si shwari.
We naona una lako jambo unataka kuliibua hapa. Leo tarehe 25 june unaulizia Misa ya Xmas december 25th itafanyika wapi? Unataka ukalipue kanisa nini? Hiyo ya kesho tarehe 26 imetangazwa jana cjui leo.
Mikataba ndo ishu maana hata hyo smelter cdhan kma itaweza kuchenjua kwa kukidhi mahitaji. Lzm kuna mengne yatasafirishwa, system ya capitalism ni exploitative na hata tufanyeje lzma tunyonywe. Cha muhimu tufix mikataba na sisi tugain. Mbona wenzetu SA,Ghana yanasafirishwa lkn nchi inafaidika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.