Tumia kiunganishi (link)kifuatacho ili uweze kuchangia maoni yako. Huhitaji kutaja jina maana taarifa za mtoa maoni ni siri (anonymous) hata kwa mpokea maoni. Unaweza kuandika majibu yako kwa Kiswahili iwapo utaona lugha ya malkia inazingua. Lengo la survey hii ni kutimiza matakwa ya kitaaluma...
Tunapenda kuchanganya madesa...wao wameagiza kumbi za Sinema zisioneshe hii muvi hawajapinga wananchi wasitazame kwa nafasi zao. Haya mambo hayawezi kuachwa hivi hivi eti kisa kuna watanzania wataweza kuangalia online ama vinginevyo. Sigara zimekatazwa lakini hazijazuiwa sasa ukienda kwa mtazamo...
Kwa vile umedandia gari kwa mbele ndiyo maana umeuliza maswali hayo. Ungefuatilia ni wapi nimetokea na maelezo yangu usingeuliza hivyo lakini usijali ndiyo hulka yetu Watanzania. Next time hujaelewa unauliza kuliko kuchangia tuu ili mradi mtu kaandika nawe uandike.
Sasa wakibadilisha Agency kama TBA iwe shirika unataka NHC iwe nini sasa? Kuhusu TANESCO, kilichobaki ni Sheria kubdilishwa lakini kwenye Strategic Plan ya Shirika, kutakuwa na mashirika matatu tofauti ambayo yataingizwa kwenye Soko la Hisa kwa ajili ya kuruhusu umma kumiliki hisa. Hivyo...
Msiumize vichwa wapendwa, jambo la msingi tutambue kuwa Mabaraza ya Katiba yalijadili kile kilichoandikiwa baada ya mawazo ya wadau kukusanywa (kabla Rasimu ya kwanza haijatoka). Maoni ya msingi yalikuwa ni yale yaliyokusanywa mwanzo. Unajua ni sawa na mtihani ukiishafeli swali moja halafu ukaja...
Hahaha mwambie akupeleke Udom au Udsm au kwingine ukasome Business Administration... mwenye kutaka kufahamu chuo aangalie hii prospectus kupitia Institute of Rural Development Planning hapo utaweza kujisomea nini chuo hiko kinafundisha.
Duh hapa sasa ni kutokuwa na ufahamu kuhusu utendaji kazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama. Ofisi hii kwa mujibu wa Sheria za nchi haihusiki na usimamizi wa kura wala masuala ya uchaguzi moja kwa moja zaidi ya kusimamia shughuli za Vyama kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria za nchi wakati...
Malecela amuulize Daktari Nchimbi nini alikifanya 2010. Ingekuwa Mungu anamuondoa mtu msema uongo papo kwa papo kama vile Anania na Safira naamini mbunge wa Songea mjini angekuwa na kauli tofauti na ya sasa. Huu ni ukweli usiopingika.
Kama mdau sihitaji kukanusha ila kueleza hali halisi. Katika mashindano haya kila timu ilitakiwa kuleta vitu vitatu, Kitambulisho cha Kazi, Bima ya Afya na Salary Slip. Taarifa hizi zilijulikana baada ya timu kufika Tanga. Timu hii ya WM ilipokatiwa rufaa, baadhi ya vithibitisho vilikosekana kwa...
Offcoz hiyo itakua ni mtu kuoa mke wake au dada kuolewa na mume wake!! hailipi hata kiduchu. Naamini raha ya kufunga ndoa ni watu kutokujuana kabisaaaa. Na ndiyo maana wadada huvaa shela. Sasa leo hii ndoa kibao zinafungwa na familia (bw. harusi, bibi harusi na kichanga tumboni -zygote). Baadae...
Nionavyo mimi kuna ubinafsi mwingi katika shughuli nzima kwa maana ya kwamba mtu anajifikiria yeye mwenyewe lakini hamfikirii mwenza wake. Kuhusu kulea hili ni suala ambalo hata kwa hao walioendelea ni tatizo kubwa linalohitaji mjadala wa kina, twende mbele turudi nyuma, jukumu la kulea watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.