Mimi siamini kama kuna mungu kwa sababu moja tu,
Nayo ni kwamba wale wanaodai kuwa mungu yupo wameshindwa kuthibitisha madai yao.
Nimeshawaendea marafiki wengi wanithibitishie, lakini nikaishia kupewa vitisho, kwamba usipoamini utachomwa we amini tu. Wengine wamesema jambo baya litakupata...
All the kings men and all the kings horses couldn't put humpty dumpty back together again that's because there is no humpty dumpty and there is no god. None, not one, never was, no god
George Carlin.
Hakyamungu mapenzi no utumwa na dunia haijakaribia Keisha Bali ndo kwaaaanza inaanza. Mi vigelegele sipigi hata wanipe nn. Ni maradhi na mikansa na kufupisha maisha....
magonjwa ya akili yanawapata watu wanaofikiri sana na wenye msongo wa mawazo. kwa bahati nzuri kutokana na majukumu yetu kijamii wanaume wengi tunaangukia kwenye kundi hili.
nenda kaonane na daktari wa magonjwa ya akili kwa watoto, mwanao inaelekea ana tatizo. serious mkuu maana kwa hasira hizi ukipata mtoto mwingine si utakuta keshamchoma kisu cha tumboni? achana na ushauri wa kienyeji mara mapepo mara nini. sisi waafrika tuliweka mbele sana imani za kishirikina...
kwanza nimpongeze huyo dada kwa ustaarabu alionao. kwakua anashida na kakufuata vizuri kukueleza ila sema wewe sio msaidiaji ila ni mchoyo. sasa uchoyo wa namna hiyo siyo mzuri kumbuka kwamba yule ashawahi kua mpz wako so hakuna kinachoharibika. halafu leo kwake kesho kwako kumbuka na wewe...
mkuu apo muddy ameacha password a.k.a. nywila. sasa hapo huwezi kabisa labda mtafute muddy kama amemchoka ndo akupe password lakini vinginevyo muachie muddy kazi yake!
inategemea mke wa aina gani umeoa sababu wako wanawake wa aina nyingi. kama mkeo hajielewi kamwe usimshirikishe jambo ila washirikishe wazazi na watoto, (lakini pole maana kosa ulilifanya kwenye kuchagua mke) ila kama mkeo anajielewa basi mshirikishe yeye pekeake mambo yako na si mtu mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.