HABARINI WANA JAMVI?
Katika mishemishe zangu nimepitia maeneo ya Mbezi Beach baada ya kipindi kirefu. mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2005 kipindi cha karibu na uchaguzi mkuu. Mwaka ule 2005 nilikuta eneo ambalo kwa miaka mingi lilikuwa wazi likikaliwa na jamii ya Kihindi, jamii ambayo...
Inategemea wewe unatafsiri vipi.
Kuna namna na sehemu mbalimbali za watu kukutana.Facebook na mitandao mingine ni njia mojawapo.Wewe unayetongoza huyu mwanamke basi ndio kicheche zaidi kama tafsiri ya kicheche kwako ndio hiyo!
Mkuu
Asante kwa ushauri wako.Napenda kukuhakikishia kabisa kuwa nilifanya online application na nika submit maombi yangu na viambatanisho husika.Nikaonyesha tarehe ninayotaka kusafiri, wakaniambia nitaweza kupata viza kwa wakati ijapokuwa siku niliyopanga kusafiri ndio siku walisema passport...
MTM
Huenda EAF ni fursa ila tuwe mbele kufanya yatupasayo.
Ni sisi wenyewe tutakaokaa kiti cha dereva na kuendesha gari letu kuelekea kule tunakotaka.Tukiendeshwa tutarajie kupelekwa kwingine tusikotaka.
Julius una point kabisa halina ubishi.Huwezi kulazimisha kwenda kwa watu.Lakini unasahau kitu kimoja - hapa hakuna anayelialia... bali tunatoa maoni yetu kwa tatizo ambalo lipo.Hapa kuna watu wana sababu za msingi kutaka kwenda nchi fulani na kushindwa kwao kwenda hakutokani na kitu kingine bali...
Unajua Mkuu, malalamiko yanayotolewa kwa njia ya alternative/new media huwa na faida ya kupata maoni mengi zaidi kuliko kuandika barua ya mtu mmoja kuipeleka ubalozini.Nina uhakika kabisa kuwa kila ubalozi unakuwa na mtu wa media ambaye kazi yake ni kuangalia yasemwayo na eneo mojawapo nijualo...
Injinia... hujakosea - kweli mkaka bonge anaonekana ana utu kuliko wadada wale.Lakini nadhani tatizo liko kwenye mfumo zaidi kuliko watendaji.Ninachokiona tatizo ni kule kutokujali kuwa watu wa nchi maskini wanapoteza pesa kwa sababu zisizo za msingi.Vetting ya application ilipaswa kufanyika DSM...
Wadau wa Umoja House salaam!
Nimeona nisilifumbie macho suala hili maana linaharibu uzuri wa Mjengo mzima na kitendekacho humo ndani.
Awali ya yote napenda kuzipongeza balozi za Uingereza, Uholanzi na Ujerumani kwa kujipanga vizuri na kushirikiana kuweka jengo zuri, safi na la kisasa ili...
Mahusiano ya sasa huwezi kulinganisha na miaka iliyopita kama ulivyosema.Maisha ya zamani yalizungukia kuzaa na kulea watoto kipindi chote cha maisha ya mwanamke.Miaka hii mwanamke hazai sana kama zamani na kwa msingi huu mahitaji yake ya kimapenzi ni makubwa kama yalivyo ya mwanaume.Naunga...
BAKWATA itaingiaje kati mambo ya kidunia - kumbuka hii ni biashara na wenye biashara za starehe hawana budi kuvuna.
Kazi iko kwa waumini kuelewa kuwa hicho wanachokifanya cha kumalizia kutenda dhambi hakiwezi kuonwa kama maandalizi sahihi kwa mwezi wa toba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.