Habari zenu wadau? Naomba mwenye Audio ya huu wimbo anisaidie,nina shida nao sana,najua hapa jamvini ndo mwisho wa kila kitu,shukrani.
Lyrics zake ni hizi:
Daz Nundaz - Nitafanya Nini?
KIITIKIO
Mimi nitafanya nini sasaa!!
ndio hivyo shida ndio zimeninasaa,
sijui kipi kisa na mkasaa...
Ndg wanajamvi salaam, kwa wiki hii nzima nimepata meseji ambayo siielewi kutoka 15453, nanukuu; "GeoPoll: Udjibu ndiyo kua itshika mawulizo 4 geopoll kua ku saidiya umodja wa taifa lengo. Ushiriki sawuti yako na dunia. Akuna gaharama kua kudjibu." Naomba ufafanuz kwa aliyeelewa,naamini kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.