Hii hali mimi ninayo kuanzia miaka ya 90. Nimesha pima vipimo vingi na siku onekana na tatizo lolote.
Katika kufuatilia nilipata wataalamu kama wawili na maelezo yao yalikuwa karibia sawa, walisema chunguza wakati wa joto unapotoka jasho unakua hukojoi sana na pia wakati wa baridi ndio unakojoa...
Kwa tv hasa smart tv zenye hd resolution bora ya 80,000.lakini sijajua itaongezeka speed kiasi gani. kua makini maana nimetaka pia upgrade ya 80k lakini mpaka leo haijakaa sawa.
TTCL
ttcl wana 1.Fibre optic ambayo iko baadhi ya sehemu hasa Masaki na wana 2.copper connection ambayo wanatumia waya na nguzo zilezile zilizokuwa zikitoa huduma ya simu za mezani na fax.
Hapa nitazungumzia copper connection ambayo mimi nimeweka nyumbani, ukiwa nje au karibu na nyumba kuna...
Wakuu Habari,
Naomba msaada wa kujua ni njia gani zinaweza kutumika kukariri darasa kwa mtoto aliekuwa kidato cha kwanza na ambae nahitaji arudie tena kidato hicho hicho kutokana na ufaulu wake kuwa hafifu.
http://thepeoplesperson.com/2020/01/14/ed-woodward-fiddles-while-manchester-united-burns-bruno-fernandes-deal-unravels-211327/
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.