Kuna kitu mnatakiwa mkubali mashabiki WA man u.
"Zama za utawala wenu zimeisha"
Matatizo ni makubwa sana.

Tukimshushia yote Ole tutamuumiza.

Tumuachie machache kwanza.

Kuwauza wachezaji wazuri na kubakisha makapi ni mzigo wake.

Kutoa recommendation ya kuwaongeza mikataba Lingard, Rashford, Jones, Young, Mata, Smalling ni matatizo yake.

Kukosa wachezaji sahihi ni shida za Ed.
 
Mashabiki wa man utd wakati mwingine tunakuwa kama maandazi. Watu bado wanamlilia lukaku, wanasema eti anatufaa. Lukaku hamna kitu, big match kama ya juzi kati ya inter na juve, kafanya nn cha maana? Sanchez umri umeenda, kaja man utd na mshahara mkubwa, matatizo aliyoyaleta, ndiyo haya, kila mchezaji wa man utd anataka kuboreshewa mpunga. Acheni kututajia hao sanchez na mwenzake lukaku, hawana tija kwa man utd, ole was right. Tuwe wavumilivu.
 
Mourinho alikuwa na timu strong kulikuwa OGS
De Gea
Rojo
Blind
Bailly
Carrick
Mikhtaryan
Rooney
Pogba
Zlatan
Hawa ni watu waliokomaa sana usingetegemea kuona ushenzi ushenzi kama wa sasa. Hata sasa hivi akipatikana mchezaji mmoja mkongwe mwenye mafanikio makubwa hao vijana watabadilika.Juan Mata ana mafanikio lakini hana leadership personality na ushawishi wa kutosha kwenye timu.
Kuna tatizo pale United ambalo muda mwingi nimekuwa silielewi kabisa.

Kama unakumbuka kipindi cha Mou, ule msimu wa Zlatan, timu ilikuwa inatengeneza nafasi nyingi sana za kufunga. Walikuwa wanafika hadi kwenye box na kutengeneza nafasi za wazi kabisa ila kwa wafungaji kulikuwa na uzembe wa kumalizia. Kipindi hicho tatizo kidogo lilikuwa upande wa mabeki. Kwa mazingira haya inamaanisha kiungo kilikuwa safi.

Ghafla leo tupo na Ole timu imekufa kabisa,kiungo sifuri,mbele kule ndio usiongee. Tumebaki na mabeki pekee.

Shida ni nini? Ni kile alichosema Neville kwamba timu inafanya maamuzi ya kukurupuka?
 
Kuna tatizo pale United ambalo muda mwingi nimekuwa silielewi kabisa.

Kama unakumbuka kipindi cha Mou, ule msimu wa Zlatan, timu ilikuwa inatengeneza nafasi nyingi sana za kufunga. Walikuwa wanafika hadi kwenye box na kutengeneza nafasi za wazi kabisa ila kwa wafungaji kulikuwa na uzembe wa kumalizia. Kipindi hicho tatizo kidogo lilikuwa upande wa mabeki. Kwa mazingira haya inamaanisha kiungo kilikuwa safi.

Ghafla leo tupo na Ole timu imekufa kabisa,kiungo sifuri,mbele kule ndio usiongee. Tumebaki na mabeki pekee.

Shida ni nini? Ni kile alichosema Neville kwamba timu inafanya maamuzi ya kukurupuka?
hata kumuamini scot kwenye kiungo ni kosa kubwa dogo ni wakawaida sana hata scotland alikuwa anaazia nje sahv ndo kaanza kupewa nafasi baada ya kupewa namba ya uhuakika na man united
 
Kocha apewe muda... klopp imemchukua misimu mitano kuwa hapa walipo... kocha wa spurs msimu wake wa saba huu nothing ole aachwe ajenge TEAM.. apewe muda
apewe muda kama anahesabu yeye alikuwa hajui kama kwenye kuingo atabaki na scot,fred,matic na pogba,hakujua mastriker atabaki na rashford,martial na greenwood ? na amembakiza young kwenye timu wakazi gani ? hajui anachofanya...
 
Mashabiki wa man utd wakati mwingine tunakuwa kama maandazi. Watu bado wanamlilia lukaku, wanasema eti anatufaa. Lukaku hamna kitu, big match kama ya juzi kati ya inter na juve, kafanya nn cha maana? Sanchez umri umeenda, kaja man utd na mshahara mkubwa, matatizo aliyoyaleta, ndiyo haya, kila mchezaji wa man utd anataka kuboreshewa mpunga. Acheni kututajia hao sanchez na mwenzake lukaku, hawana tija kwa man utd, ole was right. Tuwe wavumilivu.
Ishu sio kumuuza Lukaku..ishu ni je alimuuza ili awape nafasi Martial na Rashford??..Kwanini hakuingia sokoni kutafuta straika mzuri??..
 
hata kumuamini scot kwenye kiungo ni kosa kubwa dogo ni wakawaida sana hata scotland alikuwa anaazia nje sahv ndo kaanza kupewa nafasi baada ya kupewa namba ya uhuakika na man united
Hivi kwanza best position ya huyu dogo ni ipi??..DM au AM??..Maana akisogea mbele hakuna na kutisha anachokionyesha..Ana spirit ndio,,ila quality badobado,huyu ni wakutokea benchi kama ulivyosema
 
KWA TAARIFA YENU:- OLE hatimuliwi makubaliano ni kwamba dirisha dogo january anasajili mastriker 2 na winga 1 na ahakikishe timu inamaliza top 4.

January tayari tutakuwa tumechelewa,championship itakuwa inanukia sana.
Kwanza utapata wapi mchezaji mzuri kipindi cha january aje kuiimarisha man utd?
Nilidhani Waafrika peke yetu ndio hatuna uwezo wa kuona mambo kwa mtizamo wa mbali sana,Ole kanifungua macho.
 
Shida ninayoiona mimi, ni glazer na huyo ed basi. Ole alivyokuwa anafanyiwa na ed kwenye dirisha la usajili, mmesahau? Hamuwezi kumpa lawama kiasi hicho.
 
kocha hana akili tu ko alivyo muuza lukaku na sanchez hakujua kuwa kama timu inatakiwa iwe na mastraika angalau watatu alijua wakina matial ni vyuma kwamba hawawezi kuumia ndomana naonaga guadiola anaakili saana anatimu mbili ambazo zoote tukicheza nazo lazima tufungwe viungo tu wapo wakutosha ani KDB,GUNDOGAN ndo alimnunua na magongo kabsa,d.silva nk.woote ni wazuri
 
Ole Gunner asifukuzwe kazi.

Abaki hapo hadi mwisho wa msimu.

Nataka nione United ikishuka daraja.

Kwenye historia ya maisha yangu nione timu ninayoishabikia ikishuka daraja.

Pia, tuone comfortability ya management na owners itakavyokuwa.

Ila mwisho wa msimu timu uvunje mikataba na 90% ya wachezaji, wabaki Pogba, Sergio, DeGea na Bissaka tu.

Ole must stay.
Kudadeki nani atakubali kubaki?
 
Back
Top Bottom