Hili linanisumbua akili kidogo, nauliza tu jamani hivi kuna mwanaume ambaye yupo tayari kuingia ktk majukumu ya ki ndoa lakini akasubiri asifanye ngono kabla ya ndoa?
Nahitaji tu kujua kama wapo maana hii imekua kawaida sex before marriage, nimesikitika sana hata wale ninaowaamini kuwa ni...
Naomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi...
Naomba kuuliza wataalamu, kuna tatizo lolote iwapo mtu anaosha maembe kwa kuyasafisha na sabuni kisha kuyasuuza vizuri kwa maji safi na kisha kula maganda yake?
Kwa nini iko hivi? Baadhi ya wanaume anamtongoza mwanamke, anamwambia nakupenda tena kwa kumwandikia tu message kupitia simu. Na mwanamke kwa upande wake hata haja reply chochote kama vile nakupenda pia. Cha kushangaza mwanaume anaanza kutangaza kwa washkaji zake kua oooh huyu shemeji yenu na...
I'm 29 yrs old now. I have never been in any relationship, like serious, sina boyfriend hadi sasa. Although I had several crushes over some men, but neither of them didn't work because they were just crushes. Here I am again facing another case.
Kuna kijana nimetokea kumpenda jinsi alivyo tu...
Falling in love is like your falling into it. I wonder myself now abt crush thing is it the same as infatuation or lust i had passed through crushes and it ends with time.
Youlove someone but as u give urself time you give up although you still love that person but time heals and u find...
Habari za majukumu wanajamvi,
Nina rafiki yangu wa kike ambaye hivi majuzi alimpeleka rafiki yake wa kiume ambaye ni mume mtarajiwa huko kwao yaani kwa wazazi wa mwanamke kwa utambulisho zaidi kabla ya kutoa mahari. Walipokelewa vizuri siku ya kwanza na siku ya pili kuku kachinjwa ikawa safi...
Habari zenu wana jamii, poleni na majukumu.
Kuna kitu kinanitatiza ni bora mnisaidie mawazo niwe na amani. Binafsi nina kanuni zangu flani za maisha, na kuna baadhi ya mambo ambayo ni binafsi sana napenda yawe ni siri ya moyo.
Sasa kilichotokea ni kwamba nilijikuta nikimwambia mtu wangu...
Wadau majibu ya ule usaili wa kwanza bado tu? mwenzenu tokea tar 17 niko online kuyasikilizia hayo matokeo lakini kimya da!
Wadau mkiyapata tupeane news.
Habar wana jf, jamani men msiwe na mazoea ya ku approach ladies kwa njia ya sms. ni siri nawapa mtakosa wake wema kwa uzembe wenu. Wanawake tunapenda vijana wanaojiamini, ukituma sms ina maana hujiamini so mim nakukataa hata kama vp... kama una nia kweli na unataka huyo mwanamke awe wako wa...
Habari wana JF, Naomba kutumiwa document yoyote inayoonesha majina ya walioitwa TPDC kwenye usaili. Nafungua website yao sioni majina na mimi nimeambiwa jina langu lipo kuna rafiki yangu amenisoma gazetini.. Nitashukuru.
Jamani wana j4 nisaidieni nielewe hili jambo! yani men wako open sana, let say anapoanza kumtongoza lady na akapewa chance ya kuwa na mazungumzo hakawii kuongelea swala la xperience ktk hilo.. wengi ni open sana kiasi kwamba nashangaaa... tofauti na wanawake mpaka aseme ni bikra au sio...
salama wanandoa jamani! jamani huu mtindo wa baadhi ya wanawake kuwaonea aibu waume zao kitandani kiasi cha kushindwa kutoa ushirikiano wa kutosha kwa mume inanikera sana.. msishangae siku mumeo kajikwaa hapo nje na kukutana na mdada mjanja kukuzidi... itakua ngumu kumhendo huyo mume...
Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.