UPDATE
Sasa tunayo, Boss 6.5kv. Inatosha kwa matumizi ya nyumbani na ofisi ya kawaida.
Inaweza kusukuma fridge,pasi,taa za ndani na nje.
Pia inaweza kusukuma, Ac ya HP 1.5 mpaka 2hp. Computer zisizo pungua 4,fen na photocopy.
Ina warrant ya mwaka 1.
Inaweza kutumia mafuta 1lt kwa masaa 2...
Tumekwisha karibia tunasubiri ujibu maswali kwanza ndiyo tuje. Mie nataka kwa ajili ya matumizi ya nyumbani lakini sitaki inayopiga makelele je nitapata?
Kuna kipindi muhimbili walikuwa wanatangaza kutoa huduma hiyo kwa ada ambayo sikumbuki ilikuwa sh ngapi pia walitoa na namba ya simu niliichukua lkn sijuwahi kupiga sina uhakika kama huduma bado ipo namba ni 0715 648 636 labda jaribu kupiga kuulizia
Kiwanja kinauzwa Kigamboni eneo la kimbiji/kijaka lenye ukubwa wa sqm 1,440. kiko eneo zuri karibu na barabara pia karibu na chuo kipya cha biashara. Bei shilingi million 12.5. Kiwanja kina offer na mazungumzo yapo. Kwa mawasiliano na maelekezo zaidi piga simu namba 0767 593 399 Karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.