Nilijaribu sana kufuatilia kama kuna njia ya mtu kulipia kulipia mkopo wake kwa njia ya mobile money au benki ila sikukuta eneo lolote hawa bodi walipo weka "UTARATIBU WA KUTAKA KUREJESHA MKOPO". Usikute hii ndio changamoto ambayo wengi wanaikuta kutokujua jinsi gani ya kurejesha hii mikopo...
Pole sana mdau, inabidi uanze kakata maji kama samaki, pia maji hufanya ngozi kuwa yaa kitoto na nyororo hata ukizeeka.. Ambaye hanywi huwa anakuwa na ngozi iliyo kakama ukimuangalia.
Pia kama bado uvivu upo wa kunywa tembela usemi huu uliovuma sana "UKINYWA MAJI MENGI UTAKUWA MWEUPE".
Tumezoea kusikia redioni "katumbuliwa" na tunachekelea sana.. sasa kwa ambao tupo nje tumeanza kumchokoza Raisi makusudi kwa kutokutaka kufanya kazi kuachana na mikutano isiyo rasmi.. " Tutatumbuliwa tu tusipo kuwa makini".. Ni ushauri tuu watanzania wenzangu..
Mobistock,
Mfumo mpya wa kutumia simu yako ya mkononi unaokuwezesha kuuza kama wakala,
Luku, vocha za kurusha za airtel, vodacom, tigo, zantel, smart na halotel.
Kulipia dstv, startimes, azam, smile internet, box office na vifurushi ya zantel na tigo vya maongezi na internet.
Kwa kila...
Pole sana ndugu, hadi sasa Mobistock tuna zaidi ya miaka mitatu na tuna mawakala zaidi ya 75,000 nchi nzima.. Hii ni dhahiri kuwa huduma imepokelewa vyema katika jamii bila kuwa na shaka wala wasi wasi nasi. Tunaendelea kurahisisha huduma kupatikana karibu nawe, kukuongezea faida na kukupatia...
1. Naomba uelewe kuwa Mobistock sio Rifaro au biashara ya kushirikishana (network marketing) ndugu.. Huduma hii inafanana na kama mawakala wa max malipo au selcom.
2. Ili kujiunga katika Mobistock unatakiwa uwe na mtaji wa kwanzia tshs. 10,000 au zaidi na uwe tayari umeiweka katika akaunti yako...
mtaji ni tshs. 10,000 au zaidi unapo anza kazi baada ya hapo unaweza kuweka kiasi chochote kile kulingana na wateja wako wanavyo ingia dukani kwako kujipatia huduma.
Ndugu, unaweza izalisha pesa yako zaidi endapo utapenda kujiajiri na Mobistock kwa mtaji ulionao wa kuanzia 10,000/= tu. Mobistock inakuwezesha wewe kuwa wakala ambaye utatoa huduma tofauti tofauti katika jamii kwa kutumia simu yako ya kila siku ya kiganjani. Huduma utakazoweza kuzifanya ni...
Ili kusajiliwa unatakiwa uwe na kianzio cha mtaji ndugu hapo hapo ulipo na umekwisha kiweka katika akaunti yako ya mpesa / tigo pesa au airtel money, ndipo utume details zako uweze kusajiliwa. Baada ya kusajiliwa unatakiwa uweke salio ndani ya saa moja ili menyu yako ifunguke. Kushindwa kufanya...
Hii ni kampuni imesajiliwa, wamekuja na mfumo hi..
Tumia simu yako ya kiganjani, laini yako binafsi ya kila siku na mtaji mmoja kwa kujiajiri kama Wakala au matumizi binafsi. Utaweza kutoa huduma hizi;
1. Kuuza / kununua vocha za kurusha (voda, tigo, airtel, zantel, smart na halotel)
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.