Namna ya Kujenga Uhusiano Mzuri na Wafanyakazi Wenzako.
1.. *Wasaidie watu kufikia malengo yao - Usiwe kikwazo cha mafanikio ya wengine kikazi au binafsi.
2.. *Wafanye watu wajione wanakuzidi - Usitumie wadhifa, Umri au Taluma yako kujiinua kwa namna yoyote.
3... *Kubali kuanzia chini - Usiwe...
kwanini boys wamefanya kawaida angali girls wao wamefanya vizuruli still wao ndio wana kaskkash nyiingi za ratiba za maisha.
JE BOYS WAMEKUWA MA BISHOO SAANA??? AU M. BET ZIMEZIDI AU SOCIAL MEDIA KUUZA SURA
kuna nini behind the scene????
#SHINDANA VIGEZO USISHINDANE NA WATU.....
Wanajamiii wote
Tukumbushane mwisho wa kufanya maombi kwa tcu cas ni kesho saa 6 usiku.
Upatapo taarifa hii mjuze na mwingine.
Hii inawahusu wa F6 Diploma.. Na RPl
Leo asubuhi nilikuwa nasikiliza kipindi kimoja kwenye redio fulani. Kulikuwa na mtaalam mmoja aliyebobea kwenye port nd shipping (Bandari).
Kuna kitu alikisema ambacho kinamaana sana. Alisema kwamba, siku zote kuna mambo mawili tunayoyachanganya watanzania, Proffesional and wisdom (utaalam na...
WALIANZA NA VISIMBUZI/VINGAMUZI
SASA WAMESHAFIKA HADI KWENYE SIM CARD....
HIVI HII SERIKALI YA MKUU WA KAYA WANATAKA TUHAME NCHI TUWE WAKIMBIZI KABISA. KILA KITU MNATAKA KODI HADI simu eti tumia simu au usitumie lazima utoe BUKU?????, UNYANYASAJI ZAIDI YA UKOLONI
Kwa heshima na tahadhima nawashukuruni kwa msaada wenu wa kuniwezesha ku UNLOCK HUAWEI MODEM E303s-2. PERMANENTLY. NOW I'M FREEE WITH TEHAMA.
MUNGU AWABARIKI NYOTE :smile-big: :smile-big:
Hivi inamaana hawa viongozi watz wametuona sie mabongolala sana.
Kwamba sababu za kufeli kwa wanafunz wa shule ya msingi na form 4 hazifahamiki coz tangu mwaka 2007 hadi 2012 chart inashuka tu. Ile tume ya kwanza matokeo yake kapuni.
SIMU YANGU inagoma kufanya kazi kila mara na kuandika herufi yenyewe hata nikipigiwa haikubali kupokea button zote zinagoma tatizo litakua nini?
Suluhisho lake
Kijana FELICHESM Y MUNISHI, anaesoma KARANGA TECHNICAL-MOSHI anatafuta sehemu ya kufanyia mazoezi kwa vitendo 'field' kuanzia mwezi May hadi Julay, popote Arusha, Kilimanjaro na Manyara.
Kama unaweza mpatia nafasi nijulishe kwa
email
'kwekaanthony@hotmail.com'.
SOCIAL NETWORK
Facebook...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.