Search results

  1. M

    Katiba ya CCM na Vyombo vya Dola

    Hakuna shaka kua katiba hii ya ccm haina ridhaa ya wananchi wala vyama vikubwa vya upinzani nchini, hii ni katiba ya Ki (DICTATOR) ambayo ufanyaji wa kazi yake utatokana vyombo vya Dola kutumia (Nguvu) zidi ya raia. Usimamizi wa Katiba hii itakua ni kutumia vyombo vya Dola kushurudisha yani...
  2. M

    Zanzibar ina mengi ya Kujifunza Kura ya Maoni Scotland

    Scotland Refeeedom 18 Septemba 2014 Saturday, August 30, 2014 A K Khiari Hivi karibuni Scotland itapiga kura ya maoni (Referendum)kuamua kwamba inataka kubaki katika United Kingdom ama laa. Kura hii ni muhimu sana kwa mustakabali wa nchi ya Scotlandambayo kwa miaka mingi imekuwa chini ya...
  3. M

    Asha Bakari aogopa kuzomewa Avaa Ninja mda wote atembeapo maeno ya mjini Zanzibar

    Mjumbe wa bunge maalum la Katiba ccm Mh Asha Bakar aamua kuvaa Ninja atembeapo maeneo ya mjini Zanzibar. Hii imetokana na zomea zomea kwa wasaliti wa Zanzibar popote waonekapo na kutambulika kuwa ni wasaka Tonge. Hii ni kufuatia mwakilishi 1 wa ccm alipoenda maeneo ya sokoni mombasa kuzomewa...
  4. M

    Ole Sendeka atoka kwenye Ukumbi wa Bunge kwenda kulilia nje

    mara baada ya mbunge mmoja kusimama na kumuomba Mwenyekiti wa Bunge Pandu Ameir Kificho awatake watendaji wake wagawe vikaratasi vya kura ili ipigwe kura ya siri wachaguwe aidha siri au wazi na kuondokana na kanuni hizo zilizodumumu takriban siku kadhaa bila ya kupatiwa ufumbuzi na wajumbe wengi...
  5. M

    Anadi amevaa VIZURI: BUNGENI

    Ni katika michango ya wabunge mbali mbali kuhusu mavazi, Mheshimiwa anaonekana hapo kwenye pic anadai amevaa vizri sana:kwenu wakuu TBC Live
  6. M

    Jussa: Masheikh wapewe dhamana

    Na Alghaithiyyah, Zanzibar Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Zanzibar (CUF), Ismail Jussa Landu amesema ikiwa kweli serikali ya umoja ya kitaifa inataka kuonekana kuwa inaheshimu utawala bora na haki za binaadamu itende haki kwa kuwapa dhamana na kuwaachia Masheikh wa Jumuiya ya Uamsho na...
  7. M

    RAIA wa Nchi za Rwanda, Uganda na Kenya Kutumia ID moja ya Kusafiria ndani ya Mataifa yao

    RAIA wa nchi za Rwanda, Uganda na Kenya wamepokea kwa shangwe kuanza kutumia vitambulisho vya uraia, kama hati ya kuwaruhusu kusafiria ndani ya mataifa hayo. Mpango huo wa kutumia vitambulisho vya uraia kama hati ya kusafiria kwa nchi hizo tatu, ulianza rasmi Januari Mosi, 2014 kufuatia...
  8. M

    Nimeumwa na Kichwa Baada ya Kuisoma Definition ya Serikali ya J/Muungano kwenye Rasimu ya 2

    ''Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi 2 za jamuhuli ya Tanganyika na Zanzibar ambazo kabla ya hati ya makubaliano ya Mungano wa mwaka 1964, zilikuwa nchi huru.,'' My Take: Kama Jamuhuli ya Muungano ni NCHI ya...
  9. M

    Rasimu: Mbona sioni kifungu Mshirika 1 akiamua KUJITOA kwenye Shirikisho la Muungano, Nisaidieni.,

    Ndugu wanajamvi nimeipitia Rasimu hii karibu kurasa zote sioni kifungu wala ibara ya inayomruhusu mshirika wa JMT kujitoa kwenye muungano iwapo ataamua kujitoa kwa sababu zao? Nisaidieni ndugu.,
  10. M

    Wabunge 50 Tanganyika 20 Zanzibar inakuwaje mgao huu??

    Nimejaribu kupitia Rasimu nimeona hili la wabunge wa Jamuhuri ya Muungano watakuwa 70, Tanganyika itatoa 50 na Zanzibar 20 ukiacha wale wa kuteuliwa na Rais kuwakilisha watu wenye ulemavu na wengine mmoja mmoja kuwakilisha m'me na m'ke katika majimbo ya uchaguzi., Ivi warioba na tume yake hapa...
  11. M

    TANZANIA BARA sasa kuwa TANGANYIKA - RASIMU YA 2

    Inafurahisha na kutia moyo sasa kuona kwamba ndugu zetu wa Bara kwa mujibu wa Rasimu hii ya 2 wamefumbua macho na kufahamu identity yao kurudi katika jina lao la awali TANGANYIKA badala ya Tanzania Bara., Hongera sana Warioba mengine yatajiseti kwenye Bunge la Katiba.,
  12. M

    Pinda aonyesha Vidole 2 Maalim Seif anamjibu kwa kunyesha Vidole 3 - Rasimu ya Katiba

    Ni baada ya kumalizika shughuli za Jaji warioba kumkabidhi rasimu Mh. Rais Jk kikwete na viongozi wengine baada ya hapo Waziri Mkuu Pinda alionyesha Vidole viwili vya mkono kumuonyesha Maalim Seif akimaanisha serikali 2 na Maalim Seif akaonyesha vidole 3 akimaanisha Serikali 3., Kwenu wakuu.,
  13. M

    Mansour: Tusimame Pamoja Kuitetea Zanzibar

    WAZIRI wa zamani wa serikali ya Zanzibar, Mansour Yussuf Himid amesema Zanzibar ni ya Wazanzibari na ametaka wananchi kujielewa katika kusimamia hilo. Amesema wananchi wanapaswa kujielewa kuwa Zanzibar ni mali yao wenyewe na hakuna ubia na watu wengine wasiyokuwa Wazanzibari...
  14. M

    Shamsi Vuai Nahodha: Sitavunjika Moyo kwa Yaliyonikuta

    Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha amesema licha ya kuvuliwa uwaziri ataendelea kuwa kiongozi wa kisiasa na kukitumikia chama chake na wananchi bila ya kuvunjika moyo. Nahodha, ambaye ni Mbunge wa Kuteuliwa ametoa kauli hiyo siku chache baada ya...
  15. M

    Ziara ya kutwa nzima ccm kutimiza miaka 50 ya mapinduzi

    Ziara ya kutwa nzima kule visiwa vya karafuu vijana na wakereketwa wa CCM wakiwa katika matembezi maalum ya kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi matukufu leo trehe 24 Dec 2013, kwenu wakuu.,
  16. M

    Shamsi Vuai aingia Zanzibar Kimya Kimya

    Ni baada ya kupigwa na chini kule dodoma ameamkia Zanzibar Leo Alfajiri majogoo kimya kimya., Tanganyika wamemuangusha na Zanzibar ndo ivyo tena Mamlaka kamili kila pembe., Ameumbuka kisiasa.,
  17. M

    Shamsi Vuai si Mzanzibari kwao TANGANYIKA

    Mara zote wazanzibar wakijaribu kupigania uhuru wao kutoka kwa mkoloni mweusi Tanganyika Shamsi alikuwa yuko upande wa Tanganyika., leo kama mumempiga na chini mtafutieni kitalu huko awe anashughulikia au mpeni kundi la ngombe achunge ktk nchi yake ya Tanganyika, Zanzibar hana kwao Kitope...
  18. M

    Lema amekuwa mtamu kuliko Lisu - Bungeni Live

    Amechana vibbaya sana., mawaziri 5 kwenye List amewataja mara 100 zaidi ili kuwajibika, nchi haina usalama wa taifa.,
  19. M

    Makinda ainuwa Mikono kwa Tundu Lisu - TBC Live

    Kwa mara ya kwanza nimemuona Spika wa bunge Makinda akimkubali Lisu kama mwanasheria wa ukweli ni baada ya Lisu kuinuka kutaja vifungu vya sheria na katiba juu ya kazi za jeshi la wananchi na siyo kupewa amri ya kwenda kuuwa watu ndani ya nchi yao kwenye maeneo ya Wafugaji ''Leo nimekukubali...
  20. M

    Maalim Seif afunika ngome ya CCM Donge - Zanzibar

    Chama Cha Wananchi (CUF) kimeingia katika kijiji cha Donge kufanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Muwanda na kuhutubiwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad. ambapo kabla chama hicho cha CUF tokea miaka ya 95 kimekuwa hakipewi kibali kuweka Mkutano katika kijiji hicho...
Back
Top Bottom