Duh hapo ninge guess mpake kesho kutwa nisingejua ni wewe…. Mimi tu ndio nimekomaa na ID yangu..
It feels good to be connected again my dear… habari za siku nyingi??
Wamekua wakubwa namshukuru Mungu.
Hahaaa halafu huyu nani huyu hii ID inani confuse ujue maana kama unajua habari ya twins wangu wewe ni old member mwenzangu
Mathematics & Chemistry teacher with experience in Cambridge Curriculum nitumie CV yako.
Expected date ya kuanza kama ukikidhi vigezo ni August 2023.
All the best.
Habari za asubuhi,
Nadhani kutoa rambi rambi ni hiyari ya mtu, na hakuna aliela zimishwa kuchangia kwa ajili ya msiba,
Naona watu wana mu attack amu kuwa anataka kutapeli hiyo siyo kweli jamani. Mimi jana nilikua msibani kwa warumi na leo pia nitakuwepo hili swala hakuna utapeli hata kidogo na...
Nimeiona thread hii jioni na I was really shocked na hii taarifa. Na mpaka sasa I am.
Nashukuru amu kwa updates na maelekezo yako maana nimeweza kufika mpaka msibani na ndio nimetoka mida hii.
Na nimetoa rambi rambi kama JamiiForums na nikawaeleza jinsi gani tuliishi nae hapa jukwaani. Dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.