Search results

  1. M

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    Tano Tena zinakuja kwa watami wetu wa Simba
  2. M

    Tanzania hoi kwa furaha duniani

    Soma Hiyo reports Ina kila kitu.
  3. M

    Tanzania hoi kwa furaha duniani

    Report mpya ya UN inayozungumzia furaha kwa mataifa ya dunia imetoka tarehe 24 March na Tanzania imekuwa ya 131 kati ya nchi 143. Miaka ya karibuni Tanzania ilikuwa ndani ya kumi za mwisho. Mwaka huu tumetoka kwenye hizo kumi za mwishoni. https://happiness-report.s3.amazonaws.com/2024/WHR+24.pdf
  4. M

    Magaidi wa shambulio la Moscow wanaendelea kusulibiwa

    Wacha upuuzi, wakimbilie Ukrainę mpaka ambao wote unakaliwa na Urusi? Russia wajilaumu wenyewe kupuuza walichoambiwa. Ukraine haihusiki.
  5. M

    Africa: Tanzania yashika nafasi ya kwanza kwa nchi zenye watu wenye furaha zaidi

    Mmechanganya madesa Ndio maana mnapingana. Utafiti huu unahusu afya ya akili. Wanapima hali ya afya ya akili. Sasa kwenye hizi nchi zetu, afya ya akili ni kitu kipya na mtu akiulizwa anakataa. Pia kuna msemo ujinga ni Baraka. Mtu ambaye ni mjinga akili yake haihangaiki na mambo mengi hivyo...
  6. M

    Africa: Tanzania yashika nafasi ya kwanza kwa nchi zenye watu wenye furaha zaidi

    Report inayohusu furaha inatoka 24/03/2024. Hii ni ya hali kuhusu afya zetu za akili
  7. M

    Africa: Tanzania yashika nafasi ya kwanza kwa nchi zenye watu wenye furaha zaidi

    Hizo ni reports mbili tofauti kabisa. Hii inapima kuhusu wasiwasi wetu juu ya afya ya akili. Ile ya furaha bado haijatoka na uta tika karibuni. Hii mnayojadili sio ta kuonyesha furaha kwa ujumla. Ni furaha juu ya akili yako. Je Una wasiwasi wa Magonjwa ya akili? Sasa Watanzania hawa hawajui...
  8. M

    Africa: Tanzania yashika nafasi ya kwanza kwa nchi zenye watu wenye furaha zaidi

    Mkuu, Hii si report ya furaha. Hii ni report ya mental states. Sasa Watanzania hatujui lolote hivyo akili zetu zimetulia. Hatuna wasiwasi mwingi. Hakuna vita na hata vita huko duniani hatuvioni. Masuala ya akili ya afya Tanzania hayaongelewi kabisa Kwahiyo hofu hiyo haipo. Sio kipaumbele chetu.
  9. M

    Africa: Tanzania yashika nafasi ya kwanza kwa nchi zenye watu wenye furaha zaidi

    Mmeelewa vibaya, Hii report sio ya kuonyesha furaha. Hii ni mental states. Sasa Watanzania hatujui vitu vingi. Akili zetu zina amani. Akili ya afya hata hatuhangaiki nayo. Hatuna vita wala hatuna taarifa za huko kwenye vita. Hivyo ni rahisi akili zetu kuwa sawa. Report ya furaha ni Hii hapa...
  10. M

    Africa: Tanzania yashika nafasi ya kwanza kwa nchi zenye watu wenye furaha zaidi

    Ndugu, Tofautisha furaha ya akili na furaha. Hii report hupima mental states au mental wellbeing za watu. Furaha hupimwa na report nyingine inaitwa Happiness report. Unaweza ukikuta hapa ya mwaka jana. https://happiness-report.s3.amazonaws.com/2023/WHR+23.pdf Hiyo ya sasa ambayo TZ iko juu...
  11. M

    Abdulrahman Kinana: Chaguzi za 2019 na 2020 zilileta hofu, Mwaka 2024 na 2025 zitakuwa za Huru na Haki

    sasa kwanini hawataki tume huru? Kwanini hiyo miswada mitatu inaongelea wale wale waliotuletea matatizo 2019/2020?
  12. M

    Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

    A kindly man ni sahihi na Ina maana sawa tu na a kind man.
  13. M

    Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

    Mimi nimeiuliza AI na jibu lake hilo. Hakuna kosa hapo.
  14. M

    Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

    Ujinga mzigo. Wenzako Kiingereza ndio lugha ya kila siku kazini na nyumbani. Tunakuambia hiyo sentensi iko sahihi asilimia 100. Ila kwasababu hujui Kiingereza unafikiria tu iwe a kind person. Zote mbili ni sahihi.
  15. M

    Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

    Hujui Kiingereza wewe. Kasome tena shule.
  16. M

    Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

    Wewe hujui Kiingereza. Unataka kusema a kindly man ni Makosa. A kindly man ni mtu ambaye ni mwema sana. Ni zaidi ya a kind man.
  17. M

    Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

    Hilo ni neno sahihi. Ina maana zaidi ya kuwa kind. A kindly person ni ambaye ni very kind.
Back
Top Bottom