By Caroline Baldwin Friday 28 December 2012 11:18
A touchpad tablet and a smartphone have been launched by the Congolese company, VMK, and claim to be the first African designs on the market.
The Way-C touchpad and Elikia smartphone, which are manufactured in China, were designed by the...
Chama,you talk of so many things which are unfounded and unrelated to the matter. For instance;
"We are on the verge of cleaning the house"
Which house are you cleaning? Of what dirty? You say ‘we' who are the ‘we' so you are on JF to clean your dirty party? Good to note so, but...
Mtoa thread, nimekusoma ila kwa taarifa yako, nimetoka Ludewa juzi tu, kule jamaa anakubalika, sijui unaongelea Ludewa ya wapi ni hii ya Njombe? Hapo umechemsha bro, muulize vizuri aliyekusimulia.Huyu jamaa kule wanampenda kiukweli. Hapa umepiga majungu bro.
Huo ugomvi unaouzungumzia ni kati...
Wanahabari wa vyombo mbali mbali mkoani Iringa leo jana walionyesha kuwa wao si watu wa kupelekwa pelekwa na chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa baada ya kugoma kulazwa katika gesti moja mji mafinga wilaya ya Mufindi ambayo CCM ilikuwa imewaandalia wanahabari hao zaidi ya watano ambao...
Haijalishi, iwe ni wanchama wa CDM kurudisha kadi, au CCM kupata wanachama wapya, jambo la msingi hapa ni dhahiri kuwa CCM imeshindwa kuendesha nchi. Huhitaji kuwa na degree ili kulitambua hilo!
Na ni vema ikafahamika kuwa, kuifikia hiyo 2015 mnayoitaja kwa hali ya sasa si kitu ndogo, pana kazi...
Suala hapa si kuunga au kutounga mkono huo mgomo. Jambo la msingi ni Serikali kuwa serious katika kuwajali wananchi wake kihuduma. Serikali hapo serious hata kidogo kwamfano;
Kwangu mimi ni serikali ndiyo inayochochea madhara ya mgomo huu, masuala hayo ya madaktari si ya leo ni ya muda mrefu...
Umesema unakerwa sana? unakerwa na watoto yatima au kitendo cha mbunge kula nao na kutoa msaada? Nukufahamuvyo wewe pale mtaani kwenu kuna yatima kibao, hata kule kijijini kwenu wapo,tena wengine ni watoto wa ndugu wa ndugu zako, wewe umewasaidiaje? au mimi ndi sijaelewa hapa, hana nia ya dhati...
Guys, hapa si suala la Mahakama ya Kadhi kama ilivyo. Waislamu tunahaki ya kuanzisha Mahakama ya Kadhi, but kinachopingwa, naomba ifahamike ni kuhusu kuihusisha Serikali katika mchakato huo. Serikali haiwezi kutamka kuwa mahakama ya Kadhi ianzishwe au isianzishwe! La pili linalopingwa kisheria...
Kofi Annan awarded Honorary Doctorate by GCU
18 November 2011
Dr Annan with GCU Principal Professor Pamela Gillies
Nobel Laureate Kofi Annan has been awarded an Honorary Doctorate of Laws by Glasgow Caledonian University (GCU) for his work to address international issues such as the...
Wakuu kama kawa tunaendelea kuwapata madoctors hapa Bongo. Open University nao kwa kufuata wenzao wa Mlimani wameamua kumtuza Mzee Ruksa lidigrii la Udaktari.
Kwa maelezo zaidi bofywa katika mtandao wa Chuo Kikuu Huria katika list ya prospective graduands pg 53.
Inawezekana hiyo ikawa ni rishwa. Lakini ikumbukwe kwamba kwa baadhi ya maeneo kama huko Ludewa, ni bora mtu anayewapa hata hako ka-ambulance kuliko maneno matupu. Hii ni kwa sababu, serikali imesahau sana maeneo kama hayo. Ukifikiria ki-mjini waweza sema, ni bora wabunge wasitoe misaada lakini...
Nape hana jipya TZ, kaanza na dhana yake ya kujivua gamba imeiharibu CCM kuliko kuijenga, CCM hawawezi kumfuata Nape kwa kuwa tangu aingie hakubaliki na CCM wote. But vyovyote iwavyo,any thing is possible, CCM ni wazee wa tikitaka.
aluta kontinyua
Iwe ni hayo ya Zambia au ya Misri, mimi sijui, but what I can say ni kwamba, "YOU CAN FOOL SOME PEOPLE FOR SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME" CCM haina life copyright Tanzania, ipo siku,tena siku hiyo i karibu CCM itang'oka. Kumbuka zilikuwepo ngome za Roman Empire, nani...
Kwa kuwa wataproduce umeme wa uhakika, ni heri kuliko ufisadi uliopo katika hii mijenereta ya dharula, see Dowans, Richmond, IPTL now Symbions,loads of pesa serikali inapoteza kila saa on those deeds. But I suggest,aliye nao huo mkataba atupe tuuone na tuujadili kwanza rather than just saying on...
UPEPO wa mashambuzi dhidi ya maamuzi mbalimbali ya serikali ambao umekuwa ukitoka katika kambi ya vyama vya upinzani na vyama mbalimbali vya kijamii, sasa umeanza kuchukua mkondo mpya baada ya Mbunge wa Jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Deo Filikunjombe (CCM), kudai kuwa matumizi makubwa ya...
To me it is all fine! Mbunge aliye-comment alikuwa na uhuru wa kutoa maoni yake na pia hao waliomfuata nje walikuwa na uhuru wa kufanya hivyo endapo hawakuvunja sheria.
Lakini kimsingi, juu ya suala la wabunge kutolewa nje ya Bunge ni muhimu ikafahamika kuwa, ni lazima kwa wabunge kufuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.