kulaani ni kwa mdomo haisaidii kitu, ilitakiwa zichukuliwe hatua ngumu ikiwemo kufunga balozi zao na kusitisha mashirikiano ya kibiashara. Kinyume hapo ni unafiki
Aliua upinzani na kutengeneza bunge la chama tawala, na sasa haya ndio matunda yake wanafanya wanavyotaka. Bila yeye huenda CCM ingekuwa historia leo hii
Hiyo REA ndio tulioambiwa hakuna Umeme wa 27,000/ kila siku inakuwa afadhali ya jana.
Brother Mshana Jr hii inaweza kuwa ni laana huko kwenye mambo ya kiroho. Tunahitaji kafara kubwa au ibada nzito kuvunja huu mkosi. Lile nina Tanganyika linafikirisha sana
Maendeleo yanaletwa na mambo yafutayo.
1. Siasa safi
2. Uongozi bora
3. Watu (ongezea wenye akili timamu)
4. Ardhi
hiyo nchi inayojiita Zanzibar hawana sifa hata moja kati ya hizo
Tunatengeneza matatizo ili tuje tumsifie mtu kwa kuyatatua.
Kuna mambo ukiyatafakari sana unaweza ukawa unaongea mwenyewe njiani.
Mwafrika ni umbwa mkubwa kasoro mkia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.