Mkuu Tin ni buree Hakuna Cha kwenda kulipia Benk.
Nenda ofisi Za TRA iliyo karibu Yako. Naomba kuonana Na Afisa anayeshugulikia mambo Ya Elimu Kwa walipa kodi atakupa majibu sahihi zaidi.
Me too katika watoto Wa mama yako Kuna wakiume?.
Hivi stories yako imenifanya nijione mnyama sana na Wewe na Ndgzo nimewaona kama Malaika. Mimi kabla hajamaliza habari ya laki laki kila mwezi ningemng'oa meno.
Ukweli Mzee hakuja kwa sababu anawapenda ila amerudi sababu ni muda wa mavuno...
Mkuu nimeufatilia huo uzi uliouweka hapo juu vzr.
Mimi nimekuwa na hawa jamaa(NSSF) for 7 years now. Je ukitaka kuhamia mifuko mingine taratibu zikoje?
lara1 ukweli wewe huwa kichwa sana leo umetema madini hapa hata Mungu atakubariki tatizo kesho/kesho kutwa unaweza ukaja na uzi ukawa opposite na uzi wa leo. Happy new year japo AVATA hii sijaipenda hebu rudisha ile ile. note hili ni ombi tu
WanaJF kwenye matembezi yangu mtandaoni nimekutana na hili habari na video yake juu kuhusu utabiri wa TB joshua kuhusu ndege iliyopata ajali Jana. wanazuoni wa mambo ya kidini kama anaweza kutabiri via maono kwanini asiombe kuepusha majanga haya? Kiranga @rmshauri faiza foxy Shemeji
T.B. Joshua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.