INDIVIDUAL EFFECT !!!!!!, kwa nini mnamuangalia zitto as an individual na sio zitto-look alikes ? wenye potential kama yy, ina maana zitto akifulia kisiasa mtakosa cha kuandika ?
saa nyingine mnanifanya niamini mnalipwa na zitto kuandika mnayoandika kuhusu yeye humu.
Inshallah, Mungu akusaidie na hijja yako pamoja na za wake zako na mwanao zikubaliwe pamoja na hao wote watakaoenda huko. Tuombee na sisi tuliyokutakia heri Mungu atukumbuke mambo yetu mema yawe rahisi. Ibada njema!
Ni lazima tukumbuke kwamba, hakuna kipindi ambacho upinzani katika historia ya Tanzania imeweza kutengeneza historia kama katika kipindi hiki. Haijawahi kutokea Tz'nia waziri mkuu akijiuzulu kwa sababu ya kashfa, mawaziri wakipelekwa mahakamani na kushtakiwa kwa tuhuma n.k. Kwa kifupi, wapinzani...
oya, mm mchango wa kununua helicopter sina bana, sasa kama sina hata mawazo nikose ? hahaaa. Huyu ni yule yule ambaye hukudhani angeandika haya............................
........................
...
(1) Wasimu-attack Kikwete moja kwa moja ktk mashambulizi yao wanayoyafanya wakiwa katika majukwaa ya siasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi. Kwa nini ? Kumshambulia Kikwete moja kwa moja katika kushindwa kwake, kutasaidiwa na "sweeper" wake, hawa sana sana wanakuwaga wajumbe wa NEC wakiongozwa na...
ina maana hujawahi kukaa dar au huna mwenyeji yeyote anayekaa dar ? je ulipokuwa tz ina maana hukuwahi kuwa na simu ya mkononi ? kama ulikuwa nayo ni kampuni gani ? na kwa nini ulikuwa unatumia hiyo kampuni na si zingine ? hakuna lolote lililobadirika ndnai ya hizo aka mbili zaidi ya mgao wa umeme
in red - hii imekuwa sababu ikitumika over and over, yaani ina maana zikizagaa feki, kazi yao ni kuchapisha mpya bila kuweka any security features, kwa hiyo kinachobadirika ni upya wa noti tu na si kingine, weweeee kweli tznia tambarare.....uchaguzi huo mzazi mwezi huu na mwakani mwezi kama huu
kwani "viongozi" lazima wawe wakuu wa nchi ? katika kundi la zaidi ya mtu mmoja lazima kuwe na kiongozi, kwenye familia lazima kuwe na kiongozi, sasa je nyinyi ni viongozi wazuri ndani ya familia zenu ?
hapa ninachokiona mimi ni kwamba, zitto ameamua kununua hii kesi kwa hiari (kujitakia) maana suala hili halijaanza jana wala leo, na asipokuwa makini huyu zitto, hili suala la hii mitambo halitomkalia vizuri siku za mbeleni iwapo intentions zake zitakuwa za kisiasa!
Sasa anachotakiwa afanye...
hawa jamaa huwa hawapigi dili za kitoto!! wakiamua 'KULA" wanakula kweli kweli. si umesikia lakini sijui lini mabilioni yamepotea hivi hivi kupitia trl, uchaguzi huo upo karibuni!
gharama nyingi ? umesahau kwamba uchaguzi mwakani! tegemea kuona mambo kama haya ya kuiingizia serikali gharama kubwa kuongezeka hasa katika kipindi hiki. Je unataka kujua baadhi ya hizo pesa zinapoenda ? nikikwambia utalia
analysis nzuri !
Hata hivyo sina uhakika ni ushindi/mafanikio gani ambao ulitegemea hivi karibuni. Nadhani ni mapema mno tena sana, na hawa watu ili kuangushwa haitotokea ndani ya usiku mmoja, lakini ninachoweza kusema kazi ya kuufumua huu mtandano wa wahalifu imeshaanza lakini itachukua muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.