Ukisoma hii post ya Ben unaeza ona kama hadithi ,Kumbe inajumbe mzito wa kuwaaga Ndugu ,rafiki na jamaa zake .Mungu ni mwema kweli na kila goti litapigwa kwakwe siku ya hukumu ya mateso yako .
Mkuu nimekuelewa vizuri sana kwenye hoja yako ambayo ina maslahi makubwa na uchumi wa Taifa letuu, Umeongeaa kitaalamu sana lakini najua watakuja na siasa kwenye hoja yako mkuu,Wazo na ushauri mzuri sana kwa Serikali yetu.
Bro mpk ninapoandika msg hii nina mwezi na nusu jicho la kulia chini linacheza Balaa, lakini ya walimwengu sijaona ht moja, Kuna mkuu hapo juu kasema ni tissue namini hivoo tu, yaani ilifikia niende Hospital maana nilihis sasa hiki nini tena.
Mkuu bila shaka unatokea DODOMA mpk SADA unazijua ahahaha ,basi haya NGWELU ,NGUKWE , MPELEMEHE piaa ahahaha ,akajifunze na kuwinda MBAWALA,FUNO na HARUZI ,bila kusahau kusenya KUNI ,mkuu nimecheza sna porini kuwinda Maeneo.ya Mpwapwa huko .Pamoja sana.
Mkuu ulie leta bandiko unaulizwa,wapi wanapatikana bata hao hapa bongoland umeuchuna,au mkuu umetoa huko kwenye link umekuja turusha roho ?Tusaidie majibu tafadhari.
Daah kuna mengi nimejifunza,kutokana na Bandiko la huyu Mkuu P.Mayala kwangu ni somo tosha na elimu pana ya kuifanyia kazi ,ht kwa familia yako tu ,kuna kitu cha,kujifunza.
Naona mambo yanazidi kunoga na kuweka historia kwa TANZANIA toka Utawala wa awamu ya kwanza mpk sasa Awamu ya Tano ,kuna jambo la kujifunza hapa kwa sasa.Tuendelee kusubiri nini hatima ya haya yote.
Wakuu,pombe inamtesa bro wangu mpk amechakaa aisee ,yeyote anaejua hata dawa za kienyeji aniambie nimsaidie, maana nahis iko siku watamwokota kagongwa na gari na kakata moto,na anaishi Dar .Tafadhari hili kweli ni tatizo kwa wengi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.