. Haijawahi Kutumika Tanzania. Ina Uwezo wa Kutoa Copy Nyeusi na za Rangi kwa Spidi ya Karatasi 32 Kwa Dakika. Ipo na Wino wake wa Ziada.
Njoo Ujiridhishe Uchukue Mashine Hii Nzuri kwa Ajili ya Ofisi au Biashara yako na Utapata na Wino wa Ziada.
Make: Canon
Model : IR C3200N
Analog / Digital...
Habari za Jioni Dear All, Hope Mpo Salama.
Alhamisi Kuanzia Asubuhi ndio tunatarajia Kuonana Ili Ku Chat Mawili Matatu (Sort of Interview), Nimeomba Ka Eneo Barabararani Kabisa ili Iwe Rahisi Kwa Kila Mmoja Kufika. Kuanzia Sasa Wengi wenu Mliokuwa Interested na hizo nafasi mtakuwa mnapokea Text...
Ukiwa na Laptop ni Bora Zaidi Coz Huu Umeme wetu Haukawii Kukuangusha. K Ofisi Ni Kadogo na Kamebana Mno, Ku Accomodate Watu wengine zaidi ya Wawili Haitaweza, Thus ni Bora Mtu Kuifanya Home Tu Hata Kwa Desktop yako coz wengi tulianzia Huko Huko.
Mimi ni Tricky Writer, Naandika Kulingana Na Upepo wa Hela Unapoelekea, Uki Learn Kutoka kwangu Hata Choice ya Maneno yako ktk normal Life yatakuwa ya Kijasiriamali Zaidi.
Usisikitike Ndugu Yangu, Mungu Yupo Huenda Zikaja Nafasi Nyingine Bora Zaidi ya Hizi... Unaweza Ukawa Na Elimu Ndogo Ila Ujuzi Mkubwa (Mungu Amekupa) so Piga Moyo Konde na Kuwa na Imani, Ipo Siku.
Habari za Leo wana JF.
Mimi ni Mjasiriamali ambaye natumia Muda wangu mwingi kwenye Shughuli za Mtandaoni. Nna zaidi ya Miaka 4 sasa Nimekuwa Nikifanya hichi nnachokifanya, Namshukuru Mungu Life si Baya.
Nna Plan ya kufanya mambo kama matatu tofauti kuhusiana na Issues za Online, Napenda...
Naona Serikali ya Awamu ya Tano Imekuja na Neema za Aina Yake, Maana Tulizoea Kushika Nafasi za Juu katika Mambo mengine ambayo si ya Kuvutia sana au ya kimaendeleo Kwa Hili, Big Up Watanzania Wote...
"
According to this new statistic shared by the International Monetary Fund IMF, Tanzania is...
Habari za Leo Wakuu,
Hope Mpo Salama.
Nnahitaji Desktop Computer (Complete) yenye hali nzuri angalau Ram 2, hdd 120, processor 2.0 kwenda juu.
Budget iliyopo ni Tsh Laki 2, Yaweza ongezeka kulingana na Hali ya Computer Husika.
Kama unayo waweza nitafuta kwa cm 0719 44 72 04(Whatsapp) nitumie...
Habari za leo wakuu, katika pitapita zangu nimeamua kununua hosting ya site yangu, natumia wordpress, kuna template nimenunua ila inanipa shida kuwa extracted mpaka kuwa installed.
kama wewe ni mjuzi wa hili pls help, nicheki katika 0752 98 13 80 au 0719 44 72 04.
Tuone tunasaidiana vp!
Kwa Miaka ya Hivi Karibuni Kumekuwa na Ongezeko Kubwa la Blogs na Website Katika nchi zinazoendelea, Tanzania Ikiwa miongoni mwao. Kundi kubwa la vijana waliosomea masuala ya computer na programs zake wakuwa vinara katika kufungua Blogs na Kuziendesha kwa Matumizi Tofauti Tofauti. Wachache...
Habari za Leo Wakuu!
Nimekuja hapa kuwaomba wale ndugu zangu ambao ni Graduates au wana Ujuzi katika mambo ya Web Designing na IT kwa Ujumla, ambao bado hawajapata Kazi kujiunga nami ili kufanya Kazi za Uwanja Huo Pamoja.
Nimetanguliza Neno Kujitolea kwa maana kwa stage ya Project Husika ilipo...
Inalipa kulingana na blog au site yako na jinsi mwenyewe unavyojipanga kuiendesha. Ila kweli inalipa kama utaenda nao sawa na ni miongoni mwa sababu kuu za mafanikio ya most bloggers in the world.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.