Kuna kitu sielewi, Wanoshabikia awamu ya mwenda zake wengi wao ni watu roho mbaya ,sura ngumu yaani ile mijitu katili inayo jifanya mema mbele za watu .Sura ngumu .Watu moderate and low huezi kuta group hii.
Tambua!
*Nauli ya Buses
*Bei ya mafuta
*Bei ya beer
*sigaret
*Data
Vikipanda huaga havishuki , 100mb 500 /= tamko la serikali linazungumzia mitandao gani kurudi bei ya zamani? Hakuna mabadiliko
Hali ndugu mwinyi.
Nakukumbusha tu wewe unakitaka kiti cha Urais wa zanzibar kutetea wazanzibari
Na wala si kua mwakilishi au ni seme Governor wa mkoloni
We kweli Juha.Hivi hukuona siasa ????? hivi unajua maana ya siasa???? kwanini si wataalamu wa afya walofatilia hiyo dawa??? ni viongozi wa kisiasa walopigia chapuo .Wali drag watalaamu wawili watatu na walipotua tu nchini wakampa onyo Kabudi Macho yalirudi ndani kana pilitoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.