Wewe Jamaa ni Muongo Sijapata Kuona!!!
Kwanza Hii ajali haikutokea Kona Ya Bwiru, Ilikuwa ni NYAKATO SOKONI MWANZA..
Pili Ajali haikuhusisha Lori, Ilikuwa ni Bus la Ally’s Lilikouwa likitokea Musoma au Tarime.
Tatu Bus Hilo lilikuwa Limepaki National AMBAPO Traffic Walimlazimisha dereva...
Hapa doubts ni mingi sàna kuna giza kubwa sn ukifuatilia kwa jicho la ndani, upo uwezekano mkubwa hili tukio limepikwa.
Ndg zangu Tunaambiwa Askari alitoròka, Akaenda kuruka, akaangukia kitu chenye kali kikamchoma kichwani, utata unaanzia hapa:
Hicho kitu chenye ncha kali kimekutwa eneo hilo...
Tusidanganyane Hakuna kilichofanyika...
Kwanini Mapato yalinganishwe kwa miezi inayofanana tu???
Kama September 2020 Mapato yalikuwa 1.7Tn
Maana yake October yaliongezeka, Nov yakaongezeka, Dec yskaongezeka,
Jan, 2021 yakaongezeka..
Iweje kufika July 2021 Mapato yashuke mpaka 1.5Tn...
Binafsi napongeza sana kilichofanyika leo, Uchaguz sawa ulikuwa wa dhulma sasa Unagomea nafasi ambazo hata ukizigomea majamaa yataendelea na kazi kama kawa na hakuna kitachobadilika. Upinzani wangegomea kabisaa hizi nafasi kwny hiyo battle wao ndo wangekuwa looser.
Lakini Kwenye Geography yetu tulisoma, Kilimo cha Ngano Canada, Mahindi US, Mpunga Malaysia, Mpira Burma, Nyama Denmark, Sufi Australia nk
Pamoja na Vipindi vyao virefu vya Baridi na barafu
Dhana ya uwepo wa kitu cha siri imeghubika nembo za kwenye sarafu na kufanywa kuwa ishara au alama inayoonekana.
Alama ya 'Jicho' - hili ni jicho ndani ya umbo la pembe tatu - ni moja ya alama inayohusishwa na masuala ya ushetani ambayo pia imeonekana kuwa na uhusiano wa karibu na Iluminati...
Wapo Madiwani, Wabunge wakiaminiwa na Wananchi kwa Gharama kubwa ikiwamo uhai lakini hao Jamaa waliziba masikio na Kuhamia Chama tawala kwa vipande 30 vya fedha ili Wapate uhakika wa kusimamishwa wagombea 2020.
Mpaka sasa MTULIA kule Kinondomi chaliii, Laana ya Usaliti haijawahi kuwa Na baraka.
Kitendo cha Watanzania wote kwa ujumla wao kuungana kwa Pamoja bila kujali Vyama wala Itikadi tena kwa nguvu na morale ya Ajabu ni moja ya Jambo la ki Historia katika Nchi Yetu. Wanamageuzi na Wanamabadiliko wote Huu ni mwanzo mzuri mnoooo kufikia nchi ya Ahadi!!!
Bila kujali Vyama vyenu Huu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.