Niliacha 650000 mkoan nimekuja dar kufata 600000 ni graduate kule nlikuwa afisa mikopo saivi huku pamoja na mshahar kupungua ila napata safari za mikoan kila kota salary loan nzuri tu.Maisha ni kuchagua nenda kweny laki7 hutajut
Kulingana na kichwa hapo juu nahitaji kufanya biashara ya stationary mkoan nimeshalipa pango. shida yangu ni mashine y kopy and printing kwa mtaji huo mashine zle kubwa haitoshi .ktk pitapita zangu nkapata hii ndgo inaitwa HP LASERJET PRINTER MFN M125 FN nauliza wanaoifaham je wino wake ni rahis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.