Nataman pia wengine ,waungane mm na ww kwenye ili! Haiwezekan Vigogo wote wale wakakalishwa na dogo! Kuna jambo sio kawaida
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Nami nawaza hivo ,Ila nakosa Final say kwa kuwa sina file lake lolote inakuwa ngumu kujipa matumain ya kimawazo pasipo kuwa na strong folder juu yake
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Haitaji kusubir kupitishwa ndo tuje kumjadili, fahamu pia aliyepambanishwa naye tayar weng wao wana majina na wanajulikana tofaut na Furaha.
Kushinda Vigogo ni moja ya sababu inayotupa nguvu kumjadili
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Ndan ya Chama alikuwa nan? Kwa kura hzo maana yake tayar ana nafasi ya umaarufu au jina ndan ya ccm-kawe
Msaada tutan
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Raha ya ushindi ni kumfahamu mpinzan wako, ni vzur ukatupa japo info kidogo za kijana kisha nasi tuweke mizan yenu
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndani ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Vodacom n mtandao wenye gharama za chin na Huduma bora kwa sasa Tanzania, angalia package za vifurushi vyake n bei cheee *yaKwako2*
Tatzo watanzania tumekalili ila wanaojua watakuwa wamenielewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.