Search results

  1. Gamaha

    Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

    Kitanda hakizai haramu
  2. Gamaha

    Nani anauwezo wa kunitoa kwenye kifungo hiki cha biashara?

    Binti na jamaa yake, Hapo laana lazima
  3. Gamaha

    Hii ndio logic ya kumuomba Lucifer: It is very very reasonable

    Umenikumbusha utembo wa bwana Hamidu
  4. Gamaha

    Kazi za Shetani Kibiblia

    Kuna baadhi ya maandiko yanamtambua shetani kama the ancient one. Yaani alikuwepo kabla ya Mungu.
  5. Gamaha

    Diddy ashtakiwa tena, adaiwa kumlazimisha Ngono na Dawa za Kulevya Mtayarishaji Muziki wake

    Haya mambo ya upinde Didy inaonekana ni wakala wake. Wasanii wengi sana wamelalamika huyu jamaa kutaka kuwaingiza kwenye upinde.
  6. Gamaha

    Mapinduzi cup mashindano mabovu yenye marefariii wabovu haijapata kutokea. Ondoeni huu upuuzi mwakani

    Ha ha kaka mkuu ndio umeona mwaka huu.. kule ulaya haya VAR huwa inabishiwa.
  7. Gamaha

    Mume wangu kanitukania Mama yangu, naombeni ushauri jamani

    Mwamba Ana roho nzuri sana mi ningekukata kichwa walai hela yangu unapeleka kwa mchepuko.
  8. Gamaha

    Hizi english Medium zimejikita kuwaridhisha wazazi wa wanafunzi kuliko kutoa elimu

    Tutafute pesa watoto wasome shule nzuri... hizi negative thinking ni kwa sababu tu hatuna hela
  9. Gamaha

    Naomba mwenye link ya matokeo ya kachaguliwa kidato cha kwanza mwaka 2024 atume

    Mtoto wangu ana B ya uraia tu lakini kapangiwa day..
  10. Gamaha

    Hii style mpya ya kunyoa ya Ruto imekaaje?

    Kinyozi achapwe fimbo
  11. Gamaha

    Dada anaomba ushauri tumshauri jamani yamemfika shingoni

    Nimeishia kucheka, kama yeye alimpenda mume mwenye sura mbaya inakuaje hampendi mtoto wake mwenye sura ya baba.. au alifuata tu pesa kwa mzee baba... wanawake ni hatari sana
  12. Gamaha

    Wanaume mnaelekea wapi na ndoa zenu?

    Huyo aliye omba maoni mwenyewe sio Mwanaume kamili na walio toa maoni ni wanawake.. NIkuambie ukweli sisi wanaume halisi hatuna hayo matatizo
Back
Top Bottom